Hazina za baharini

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,494
Reaction score
829,934
Kuna mambo makuu matatu baharini
1. Ikutapike
2. Ikumeze
3. Ikuzike
Bahari haifugi uchafu ndio maana always maji yake ni safi kutokana na utaratibu iliyojiwekea ya kujitibu
Ukikikuta pwani ujue kimetapikwa
Ukikikuta kwenye tumbo la mnyama bahari jua kimemezwa
Ukikikuta chini ya uso wa bahari jua kimezikwa!
Wanasema bahari ndio kaburi la kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…