Hazina yako iko wapi......?

Jibu swali acha kukwepa swali,
Huna jibu kaa kimya.
Nimekujibu
Unless una majibu unayataka wewe yafanane na ya kwako

Biblia inamzungumzia Mungu na popote ukimuliza yeyote Je Biblia inazunguzia Mungu gani inajulikana

Wewe uliniuliza nimekujibu kama hujapenda jibu kaa kimya
 
Bwashee hizo mambo ni punyeto za ubongo tu na kujiliwaza , kaa hapo amini Mungu atakusaidia na kukushushia ugali na mimi ambae siamini wala sisali ila nachapa kazi , tuone nani atakula
 
Zamani ilikuwa nikisikia mtu ana hubiri hivi nilikuwa naona anajisumbua ila baada ya kupata mauza uza aisee niliamini Mungu yupo. Na I do not make any jokes concerning God
Mimi sihubiri nawafundisha vijana kuhusu tafsiri ya neno

Yeye asiyeamini huna haja ya kumwambia mara mbili. UNamuacha kama alivyo

Hapa niko kufundisha sio kubishana. Kwangu kazi yangu ni moja tu kufundisha kwa sababu natimiza wajibu wangu. Imenipasa kufanya hivyo

Ila kuelewa au ubishi nawaachie wenye mda huo

Wabarikiwe wote ambao wameweza kulishika neno lake Bwana. .
 
Nimeshakujibu. Nikikwambia ninemwona Mungu bado hutoamini

Je wewe nini au jambo gani ambalo unahitaji lifanyike uamini katika Mungu?
Kwa mtazamo wako.
Bado unahubiri tu thibitisha uwepo wa mungu kwenye vitabu hata chopeko na mnofu kaandikwa
 
Aisee Meku na mbege utakuwa umeacha kabisa.
 
Amina... sharti injili ihubiriwe ulimwengu wote ili iwe USHUHUDA KWAO maana sio wote wataamini...
 
Bado unahubiri tu thibitisha uwepo wa mungu kwenye vitabu hata chopeko na mnofu kaandikwa
Again Mangi
Simply nijibu wewe kwako ishara gani unahitaji ili uamini Mungu yupo?
Nahitaji hilo tu. Ukijibu hilo linanitosha kukusaidia

Mimi kaka yako tusibishane. Niambia ishara tu au turudi niandike kichaga unijibu swali langu?
 
Mbege nakunywa kwa nini misimywe mbege.

Nakunywa kiasi bora moja linanitosha

Hivi mshamba wewe ndo wa kunikataa hivi? Siku hizi unepotea sana.
Brian anatumia jina gani hapa?
Kunywa pombe habari za mungu kakataa waachie hawa mapengo walokole
 
Nimekujibu
Wapi umejibu? Umejibu kwa kuniambia Mungu yupi?
Unless una majibu unayataka wewe yafanane na ya kwako
Acha kuleta taarabu,jibu swali.
Biblia inamzungumzia Mungu na popote ukimuliza yeyote Je Biblia inazunguzia Mungu gani inajulikana
Mimi nimekuuliza wewe,sijataka kumuuliza yeyote,

Kumbe unajibu ili nipende jibu lako? Mimi nataka jibu sahihi,sio jibu nitakalo lipenda.
 
Kunywa pombe habari za mungu kakataa waachie hawa mapengo walokole
MImi nakunywa mbege kiasi.
Sheria ya Mungu inasemaje kuhusu kunywa wine?

Unajua muujuza wa kwanza Yesu kuufanya?
Aligeuza maji kuwa wine. John 2: 1-11

Yesu au Biblia haijakataza kunywa wine. Ila imekataza ulevi.

Pia Biblia inafundisha kuhusu kiasi. Kila jambo u alofanya liwe kwa kiasi

Sio pombe tu kuna mambo mengi ya sheria. Unanipa kazi ya kuandiak sana...hata kula vitunguu vibichi Bwana alikataza.
Mbona huzungumzii kuhusu kula kibudu?

Mangj kunywa kwa afya ila usije ukawa unakunywa spirited alcohol haina afya yeyote acha kabisa konyagi kvang kiwingu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…