Hazina yako iko wapi......?

Seek ye first the kingdom of heaven and all these things shall be added unto you

Achana na walimwengu
UMeandika jambo kubwa sana

First you have to seek the kingdome of God and all these shall be added.

Mwendelezo .."Whoever seeks Find"..

Watu au wakristo wengi wanatafuta sana hazina kutoka kwa Bwana kuliko kuishi neno au kutafuta uzima.
Soma.... Mathayo 13:44 na Mithali 2 3-5 kuhusu hazina ambayo iko kwa Mungu

Ili upate hazina tafita kwanza uzima kisha hazina zitafuata. Ndio maana unakuta watu wengi wanaenda kanisani kutafuta miujiza...

Kwa Mungu kuna utajiri mkubwa sana🙂
 
Thibitisha uwepo wa Mungu
 
Thibitisha uwepo wa Mungu
basi nakupa habari njema.
Mungu yupo na usipoweza kuwa na Mungu basi hutapata uzima wa milele.

Ila nikuulize tu, Je ni ishara gani ambayo unahitaji ili uweze kuona uwepo wa Mungu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…