UMeandika jambo kubwa sanaSeek ye first the kingdom of heaven and all these things shall be added unto you
Achana na walimwengu
Wanaopeleka sadaka na michangowateja wakinanani...
Asiyefanya kazi na asileduh¡ tunao wapa wahitaji tuko kundi gani?
Usijisumbue weka mabandiko wenye kusikia na watasikiaLabda uwapigie kinanda wataguswa wajitoe.... usinipite mwokooozi, uuunisikie......
Inategemea hiyo injili inatoka kwa naniTubuni na kuiamini injili..
Thibitisha uwepo wa MunguMdogo wangu mangi, angalia usije ukakufuru....nataka nikufundishe kitu hapa mbona unaweka trash kweye mada ya Mungu
"Do not store up for yourselves treasures on earth, where moths and vermin destroy, and where thieves break in and steal. But store up for yourselves treasures in heaven... For where your treasure is, there your heart will be also." (Matthew 6:19–21)
KAtika ukuaji wangu nimekulia Catholic. Nikiwa kama mkatoliki tumefundishwa sana kuweka hazina mbinguni
Shida iko sana katika tafsiri. Uhalisia wa hili neno uko hivi...
"Usihifadhi hazina ambayo inayotolewa na mwili, narudia neno earth linamanisha mwili na sio dunia.
Ila hifadhi hazina ambazo zinatoka kwa bwana tu maana hazina uharibifu kabisa..."
kwa Mungu kuna hazina nyingi sana ikiweno karama mbalimbali. Hivyo basi hazina yako itoke kwake na wala si kwa upotevu.
Yesu akusaidie wewe upunguze matusi , mimi yesu hana cha kunisaidiaYaani hawa ndugu yangu wananifananisha na kila mtu humu... Waweke katika maombi
Bwashee nenda kwa Yesu uache pombe
basi nakupa habari njema.Thibitisha uwepo wa Mungu
Mimi nilisha acha toka nimerudi,Yesu akusaidie wewe upunguze matusi , mimu yesu hana cha kunisaidia
Thibitisha uwepo wakebasi nakupa habari njema.
Mungu yupo na usipoweza kuwa na Mungu basi hutapata uzima wa milele.
Ila nikuulize tu, Je ni ishara gani ambayo unahitaji ili uweze kuona uwepo wa Mungu?
Wewe kiazi kweli , fanya kazi hauna akili ya kunishauri mimi kuhusu rasilimaliMimi nilisha acha toka nimerudi,
Nikushauri tu pombe inakupotezea muda, nguvu na raslimali
Huyo Mungu ni yuko ndani yako.. Acha kuplay games ewe mmatumbi. Unajua kabisa God is all alaf unataka uthibitisho?Thibitisha uwepo wake