Hazina ya Tanzania imefilisika, Rais aseme tu ukweli

Maji yameanza kufika shingoni. Matumizi yamezidi mapato. Kama serikali ingekuwa inaweka wazi kuwa hazina imebakiza kiasi gani kwa sasa basi watanzania wengi wangepata mshituko mkubwa.

Financial sources za nje nazo zimebuma. Mapato ya TRA yamebuma nayo. Zile mbwebwe za kutangaza mapato zilidumu kwa miezi mitano tu. Sasa tunaelekea mwezi wa tatu hawajatangaza mapato ya TRA.

Tuna 40% budget deficit. Average domestic income ni Trilion moja kwa mwezi. Miezi 12 maana yake ni 12 trillion. Hapa kuna deficit ya 5trillion from projected domestic income ya 17 trillion. 12trillion ilitegemewa kutoka hasa kwenye mikopo na misaada. Misaada sasa imebuma.

Sasa serikali imepata kiwewe. Wameanza posho za madiwani, zitafata za wabunge, mawaziri, na hata watumishi wa serikali.

Hii sio kubana matumizi bali ni kupunguza matumizi ili kuendana na hali mbaya ya uchumi.

Hakuna anayefurahia hii hali tunakoelekea nikubaya. Kila mtu inamuumiza. Personaly mimi ni muajiri. Wafanyakazi wangu nimewapunguzia 20% ya mishahara yao asiyetaka aache kazi. Hii sasa ni kila sehemu. Private secta zinapunguza waajiri kama sio kuwapunguza kazi ili kwendana na hali ya uchumu.

Tanzania hatujawai kuwa na uchumi mzuri lakini hii hari ni bora ya jana.

Viongozi wenyewe hata hawaeleweki wanamkakati gani wa kuokoa jahazi zaidi ya kutoa matamko nakutafta sifa. Wao wana sema hali ni nzuri. Ni kweli wanachokisema. Hata kwenye nyuso zao utatambua kuwa hali ni nzuri kwao kwa jinsi wanavyopendeza na kuzidi kunawili kiafya. Watakuwa wanafiki wakisema hali ni mbya wakati wananenepa na sura kungara. Walivyokuwa kabla hawana madaraka 2015 si sawa na sasa.
a7a74563abe760431c89fc43910e6944.jpg
Acha chuki binafsi na serikali.Kama wewe intellectual uliyekombolewa fikra andika mabaya na mazuri.Jifunze kwa hata hashimu Rungwe alivyoheshimu mchango wa awamu ya NNE licha ya Prochadema kuuponda sana
 

Attachments

  • VID-20170105-WA0009.mp4
    3.7 MB · Views: 23
Acha chuki binafsi na serikali.Kama wewe intellectual uliyekombolewa fikra andika mabaya na mazuri.Jifunze kwa hata hashimu Rungwe alivyoheshimu mchango wa awamu ya NNE licha ya Prochadema kuuponda sana
Wapi nimesema naichukia serikali. Watanzania wa hi tabia ya unafiki ndyo inawatafna. Mtu akisema ukweli anaichukia serikali?

Mtoto wako akikosea ukamuita ukamkosoa unakuwa unamchukia?

Nawafananisha na watoto wa shule wao wanawachukia waalimu wanapowapa adhabu lakini wanasahau kuwa mwalimu anayekupenda ufanikiwe atakuadhibu ili ukae kwenye msitari.

Sasa watu wa namna kama nyie ndyo mmejaa Tanzania. Hamtaki kueleza ukweli hata kama serikali imekosea ili iendelee kubolonga.
 
Maji yameanza kufika shingoni. Matumizi yamezidi mapato. Kama serikali ingekuwa inaweka wazi kuwa hazina imebakiza kiasi gani kwa sasa basi watanzania wengi wangepata mshituko mkubwa.

Financial sources za nje nazo zimebuma. Mapato ya TRA yamebuma nayo. Zile mbwebwe za kutangaza mapato zilidumu kwa miezi mitano tu. Sasa tunaelekea mwezi wa tatu hawajatangaza mapato ya TRA.

Tuna 40% budget deficit. Average domestic income ni Trilion moja kwa mwezi. Miezi 12 maana yake ni 12 trillion. Hapa kuna deficit ya 5trillion from projected domestic income ya 17 trillion. 12trillion ilitegemewa kutoka hasa kwenye mikopo na misaada. Misaada sasa imebuma.

Sasa serikali imepata kiwewe. Wameanza posho za madiwani, zitafata za wabunge, mawaziri, na hata watumishi wa serikali.

Hii sio kubana matumizi bali ni kupunguza matumizi ili kuendana na hali mbaya ya uchumi.

Hakuna anayefurahia hii hali tunakoelekea nikubaya. Kila mtu inamuumiza. Personaly mimi ni muajiri. Wafanyakazi wangu nimewapunguzia 20% ya mishahara yao asiyetaka aache kazi. Hii sasa ni kila sehemu. Private secta zinapunguza waajiri kama sio kuwapunguza mishahara ili kwendana na hali ya uchumu.

Tanzania hatujawai kuwa na uchumi mzuri lakini hii hari ni bora ya jana.

Viongozi wenyewe hata hawaeleweki wanamkakati gani wa kuokoa jahazi zaidi ya kutoa matamko nakutafta sifa. Wao wana sema hali ni nzuri. Ni kweli wanachokisema. Hata kwenye nyuso zao utatambua kuwa hali ni nzuri kwao kwa jinsi wanavyopendeza na kuzidi kunawili kiafya. Watakuwa wanafiki wakisema hali ni mbya wakati wananenepa na sura kungara. Walivyokuwa kabla hawana madaraka 2015 si sawa na sasa.
a7a74563abe760431c89fc43910e6944.jpg

Nimesoma mawazo yako japo.. Pole sana!!!
Kwa ushauri tu: Umesema wewe ni muajiri (japo hujasema ni biashara gani) na kwa sasa umeshindwa kulipa mishahara stahiki; unaonaje kama wewe ungeanza kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuifanya biashara yako iendelee kwa faida na kuwapandishia wafanyakazi wako mishahara ....badala ya kujichukulia kama mfano wa waajiri walio feli na kushindwa kutimiza majukumu yao?
 
Acha chuki binafsi na serikali.Kama wewe intellectual uliyekombolewa fikra andika mabaya na mazuri.Jifunze kwa hata hashimu Rungwe alivyoheshimu mchango wa awamu ya NNE licha ya Prochadema kuuponda sana
Hivi ofisi ya hashimu ni bafuni au chooni? Ivyo vigae apo nyuma sijavielewa
 
Lupyee bado kuna nafasi za udc? Tangu lini huyo ulomtaja akawa karibu na cdm?Au unajitukanisha kimya kimya?
 
Mimi nahisi kuna approach mbaya ya uchumi. Sidhani kama suluhisho la kiuchumi ni kukata spending. Ukikata spending umekata money circulation mwishowe hakuna kitakachoingia hazina.
Robert Kiyosaki vitabu vyake vyote husema "savers are loosers"

Hata kwa mtu binafsi anayetanguliza kubana matumizi kuliko kutafuta mirija tofauti ya kumuongezea kipato huishia kuwa masikini.

Haya ndyo yanaendelea tanzania. Serikali ipo buzy na kubana matumizi haina mpango wa kuongeza kipato zaidi ya kujaza matrafiki barabarani kutafta fine.
 
Back
Top Bottom