CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Katika kile kinachoonekana sasa serikali imefilisika, imewakata nusu ya pensheni ya wastaafu ya mwezi February.
Kwa mfano wastaafu wengi hupokea sh 300,000 kila baada ya miezi sita. Sasa wamepewa 150,000/=!.
Nakumbuka, Slaa alisema watanzania mkilogwa mkamchagua JK, mjue ni janga la taifa. sasa yanatokea, wacha tuyaone ni kutosikia kwetu. Wenye magari ni jahanamu- TRA, Fire dept, trafic ni moto wa jahananu barabarani-eti wanakusanya kodi.