Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Miaka ya 2016 hayati Rais Magufuli aliunda bodi ya mishahara lakini hakuna matokeo chanya yaliyoonekana.
Leo tena Rais Samia amesema iundwe bodi ya mishahara, hivi watumishi hamuoni hii ni danadana na danganya toto?
Hivi kama HESLB wanaweka value retention fee ya 6% (imeondolewa), serikali haioni kuwa thamani ya pesa ya 2013 si sawa na ya 2021?
Leo tena Rais Samia amesema iundwe bodi ya mishahara, hivi watumishi hamuoni hii ni danadana na danganya toto?
Hivi kama HESLB wanaweka value retention fee ya 6% (imeondolewa), serikali haioni kuwa thamani ya pesa ya 2013 si sawa na ya 2021?