leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Rais Mstaafu wa awamu ya rtatu, Marehemu Benjamin William Mkapa alitanabahisha kuwapo kwa umuhimu wa kuheshimu mawazo mbadala na kuyafanyia kazi inapobidi, lakini ni kama tumepuuza busara hii sasa upinzani ni kama uadui, kushirikiana nao ni kama usaliti na wala hatuoni aibu kusema hivyo, watanzania wenzangu tumekwama wapi?
Maendeleo hayana chama.
Maendeleo hayana chama.