johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,107
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu wa mbinguni.
Shujaa Magufuli wakati akiiponda Mikataba ya kifisadi tunayoingia kama nchi alisema " Wakati mwingine Draft za Mikataba zinatoka kwa Wawekezaji siye Kazi yetu ni Kujaza na Kusaini tu"😃
Jiwe walilolikataa Waashi Math 21:42
Jumaa kareem!
Shujaa Magufuli wakati akiiponda Mikataba ya kifisadi tunayoingia kama nchi alisema " Wakati mwingine Draft za Mikataba zinatoka kwa Wawekezaji siye Kazi yetu ni Kujaza na Kusaini tu"😃
Jiwe walilolikataa Waashi Math 21:42
Jumaa kareem!