Serikali inarusha peremende masikini mnakanyagana na kusongana kuipigania,yenyewe inakaa kutazama.
Mleta mada huwenda huna kazi, au una kikazi cha kuunga unga, au jobless mtarajiwa, ila umefungiwa ktk kuta za unafiki kujifanya nawewe ni toplayer.
Machinga ni shemeji zako, wajomba zako,baba zako wadogo, jirani zako, watoto wa mfanyakazi mwenzako nk.
Una ungana na wapumbavu wengine wanaoamini CCM inaiba kura, lakini huwa inatoa hongo ili ipigiwe kura pia,na kurubuni watu kama machinga, sijui ili iweje wakati inaweza kujiibia kura tu inavyotaka ktk sanduku!
Kamsikilize JPM alipokuwa akiongea ikulu juu ya machinga na bi samia akiwepo, ndio utajua kauli yake haikuwa na mzaha wala upuuzi ulioandika hapa.