Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Du kazi kweli, sijui nimwache mama Mshana........kumbe nae ni mchoyo, malaya na mshirikina? Mh!
Mimi ni mmoja kati ya watu wasioamini kama kuna uhusiano kati ya kabila na tabia za mtu. Kuna rafiki yangu ana mpenzi ambaye ni Mpare na wamedumu naye kwa miaka kadhaa sasa. Sasa huyu jamaa amekuwa akisikia maneno mengi kuhusu wapare, na toka kaanza kusikia hajawah kutana na anayetoa sifa nzuri. Wengi wanadai ni wachoyo, jeuri na washirikina na mengine yanayofanana na hayo. Je ni kweli haya yanayozungumzwa yapo? Jamaa kapata hofu mapema na mpaka sasa hajielewi. Naombeni busara zenu waungwana
Wachoyo balaa mimi ni mhanga wa wapare!