homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 957
Mwaka 2013 niwazi nilikua nipo kwenye level ya juu kabisa ya mapenzi na nlipitia mahusiano yaliyovunja moyo wangu,nilikosa Furaha, sikuwahi kuhisi kuumia kama kipindi kile, nililia kama mtoto usiku tena nikiwa peke yangu,Nilikua sina hamu ya kukutana na jamii inayonizunguka sababu ya mapenzi, kiufupi nilijiona sina maana na kuhisi nanyanyasika , nashukuru Mungu sikujiua.
Sasa haya maisha ndo ninayoishi kwenye mahusiano na wanawake nlowapitia toka 2014.
1. Nimekua sioni raha kwenye mahusiano wala sioni kama nna hisia sahihi za mapenzi.
2. Nimedate na wanawake zaidi ya 60 na kulala na wanawake zaidi ya 40.
3. Nimekua sijui kuchagua kama zamani saizi mwanamke yoyote ambae sio ndugu yangu hata uwaje mi napeleka moto.
4. Hata mwanamke awe mrembo kiasi gani akiwa kwenye mahusiano na mimi awe tayari kuachwa na wala mimi sitaumia kwa kumpoteza.
5.Nimekua muongo kwa maneno matamu kiasi kwamba wanawake wanaopata mkosi wa kukutana na mimi hua wananiona ni husband material.
6. Nimekua sithamini mahusiano ya watu kiasi kwamba nimetembea na madem wa washkaji zangu tena kwa kuwatongoza na ikitokea wana wamejua naona kawaida.
7. Ninaweza kua na mahusiano na wanawake zaid ya watatu kwa mda mmoja na hakuna mwenye anaeweza kuniendesha kihisia na mara nyingi hawawezi juana hata kama wapo mtaa mmoja.
8. Nimewekeza muda mwingi kwenye kutafuta pesa na kuwaza ni jinsi gani nitakuwa milionea na hakika mimi nitakuwa milionea mkubwa.
9. Nainjoi kuona wanawake nnaodate nao jinsi wanahisia na mtu ambae hana malengo nao yaani mimi.
10. Nimekua nikijitolea sana kwenye uwanja wa mapenzi walopata mkosi wa kushughulikiwa na Mimi hili wanalijua.
11. Ni ngumu mimi kumtamkia mwanamke kua tuachane na ikitokea nakuwa sipo serious kwan hua nipo tayari kuirudia papuchi ya X wangu...MIMI HUYO
Nikipata vingine nitaongeza.
Sio kwamba napenda kua hivi ila niukweli kua 2013 mngeweza kusikia kuna mtu kajiua kisa mapenzi na kwa kua yupo hai basi mwaka huo hisia zake zilikufa na bado hajaona wa kuzifufua na yeye wala hahitaji hisia zifufuke kwan hataki kupitia yale mateso tens.
Sasa haya maisha ndo ninayoishi kwenye mahusiano na wanawake nlowapitia toka 2014.
1. Nimekua sioni raha kwenye mahusiano wala sioni kama nna hisia sahihi za mapenzi.
2. Nimedate na wanawake zaidi ya 60 na kulala na wanawake zaidi ya 40.
3. Nimekua sijui kuchagua kama zamani saizi mwanamke yoyote ambae sio ndugu yangu hata uwaje mi napeleka moto.
4. Hata mwanamke awe mrembo kiasi gani akiwa kwenye mahusiano na mimi awe tayari kuachwa na wala mimi sitaumia kwa kumpoteza.
5.Nimekua muongo kwa maneno matamu kiasi kwamba wanawake wanaopata mkosi wa kukutana na mimi hua wananiona ni husband material.
6. Nimekua sithamini mahusiano ya watu kiasi kwamba nimetembea na madem wa washkaji zangu tena kwa kuwatongoza na ikitokea wana wamejua naona kawaida.
7. Ninaweza kua na mahusiano na wanawake zaid ya watatu kwa mda mmoja na hakuna mwenye anaeweza kuniendesha kihisia na mara nyingi hawawezi juana hata kama wapo mtaa mmoja.
8. Nimewekeza muda mwingi kwenye kutafuta pesa na kuwaza ni jinsi gani nitakuwa milionea na hakika mimi nitakuwa milionea mkubwa.
9. Nainjoi kuona wanawake nnaodate nao jinsi wanahisia na mtu ambae hana malengo nao yaani mimi.
10. Nimekua nikijitolea sana kwenye uwanja wa mapenzi walopata mkosi wa kushughulikiwa na Mimi hili wanalijua.
11. Ni ngumu mimi kumtamkia mwanamke kua tuachane na ikitokea nakuwa sipo serious kwan hua nipo tayari kuirudia papuchi ya X wangu...MIMI HUYO
Nikipata vingine nitaongeza.
Sio kwamba napenda kua hivi ila niukweli kua 2013 mngeweza kusikia kuna mtu kajiua kisa mapenzi na kwa kua yupo hai basi mwaka huo hisia zake zilikufa na bado hajaona wa kuzifufua na yeye wala hahitaji hisia zifufuke kwan hataki kupitia yale mateso tens.