Haya yamekuwa maisha yangu ya mapenzi

Haya yamekuwa maisha yangu ya mapenzi

homeless1

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
427
Reaction score
957
Mwaka 2013 niwazi nilikua nipo kwenye level ya juu kabisa ya mapenzi na nlipitia mahusiano yaliyovunja moyo wangu,nilikosa Furaha, sikuwahi kuhisi kuumia kama kipindi kile, nililia kama mtoto usiku tena nikiwa peke yangu,Nilikua sina hamu ya kukutana na jamii inayonizunguka sababu ya mapenzi, kiufupi nilijiona sina maana na kuhisi nanyanyasika , nashukuru Mungu sikujiua.

Sasa haya maisha ndo ninayoishi kwenye mahusiano na wanawake nlowapitia toka 2014.

1. Nimekua sioni raha kwenye mahusiano wala sioni kama nna hisia sahihi za mapenzi.

2. Nimedate na wanawake zaidi ya 60 na kulala na wanawake zaidi ya 40.

3. Nimekua sijui kuchagua kama zamani saizi mwanamke yoyote ambae sio ndugu yangu hata uwaje mi napeleka moto.

4. Hata mwanamke awe mrembo kiasi gani akiwa kwenye mahusiano na mimi awe tayari kuachwa na wala mimi sitaumia kwa kumpoteza.

5.Nimekua muongo kwa maneno matamu kiasi kwamba wanawake wanaopata mkosi wa kukutana na mimi hua wananiona ni husband material.

6. Nimekua sithamini mahusiano ya watu kiasi kwamba nimetembea na madem wa washkaji zangu tena kwa kuwatongoza na ikitokea wana wamejua naona kawaida.

7. Ninaweza kua na mahusiano na wanawake zaid ya watatu kwa mda mmoja na hakuna mwenye anaeweza kuniendesha kihisia na mara nyingi hawawezi juana hata kama wapo mtaa mmoja.

8. Nimewekeza muda mwingi kwenye kutafuta pesa na kuwaza ni jinsi gani nitakuwa milionea na hakika mimi nitakuwa milionea mkubwa.

9. Nainjoi kuona wanawake nnaodate nao jinsi wanahisia na mtu ambae hana malengo nao yaani mimi.

10. Nimekua nikijitolea sana kwenye uwanja wa mapenzi walopata mkosi wa kushughulikiwa na Mimi hili wanalijua.

11. Ni ngumu mimi kumtamkia mwanamke kua tuachane na ikitokea nakuwa sipo serious kwan hua nipo tayari kuirudia papuchi ya X wangu...MIMI HUYO

Nikipata vingine nitaongeza.

Sio kwamba napenda kua hivi ila niukweli kua 2013 mngeweza kusikia kuna mtu kajiua kisa mapenzi na kwa kua yupo hai basi mwaka huo hisia zake zilikufa na bado hajaona wa kuzifufua na yeye wala hahitaji hisia zifufuke kwan hataki kupitia yale mateso tens.
 
Huwa nashangaa sana wanaume. Kama unajua maumivi ya kuteswa, kwa nini umtese mtu? Unaenda kuchukua mwanamke innocent, unamkoleza anakolea halafu unaishia kumuumiza kwa kisingizio tu kuwa uliumizwa, ukiepuka ukimwi, utapata hepatitis! Ila unahitaji msaada, mtafute Chriss Mauki.
 
Daaah ko bado haujaweza kujicontrol kaka
Na ukaoa utakuwa ivoivo pia,utamtesa sana aliyendani.Nayapitia hayo maisha.pole sana,Mwenyez Mungu akuepushie maradhi ili Siku ukiamua kuwa safi uwe na uzima pia
 
Kama ulivyoambiwa hapo juu...bado huja move on...
Na kinacho sababisha ulale na wanawake bila hisia..ni kwamba una miss physical touch (ndio maana unaweza kurudi kwa ex)..na hakuna atakayeweza kufanana na yule aliyempenda kwanza...( aliyevunja moyo wako)
Ningekushauri mtoe akili...usijaribu kutafuta wakufanana naye....hutompata!

Utampata wa kuyeyusha hiyo barafu kwa moyo na wewe upate kulisikia joto...iwapo utakuwa tayari kumkaribisha ndani...[emoji6][emoji854]
 
Dada niamin simuwaz na hata kujal kuhusu yeye sijali sijui labda uniambie vizuri kuhusu ku move on
Kama ulivyoambiwa hapo juu...bado huja move on...
Na kinacho sababisha ulale na wanawake bila hisia..ni kwamba una miss physical touch (ndio maana unaweza kurudi kwa ex)..na hakuna atakayeweza kufanana na yule aliyempenda kwanza...( aliyevunja moyo wako)
Ningekushauri mtoe akili...usijaribu kutafuta wakufanana naye....hutompata!

Utampata wa kuyeyusha hiyo barafu kwa moyo na wewe upate kulisikia joto...iwapo utakuwa tayari kumkaribisha ndani...[emoji6][emoji854]
 
Maisha ya duniani mtu anavyozidi kuumizwa moyo wake unajijenga magamba na kuwa na moyo mgumu yani no feelings .pole mkuu jitahidi hiyo hali ikutoke, jitahidi kufuatilia mambo ya dini inasaidia. Nakuakishia kuna mtu alizaliwa kwa ajili yako kama vile eva kwa adamu angalia usijepoteza moyo wako kwa kwa wapita njia wasiokuwa na maana
 
Maelezo kwa ufupi tafadhal
Bado hauamini kwamba amekuacha, kitu kilichopelekea ubongo wako kutafuta namna ya kukabiliana na uhalisia na njia rahisi ukaona ni kujihusisha na mahusiano ambayo mwisho wake ni kumuumiza unaye date naye ili kujifariji na pia kuona umelipiza kisasi kwa yaliyotokea kwako.

Kifupi tu bado unampenda x wako na ila kumrudia ndiyo haiwezekani (upo desperate) ,sasa unachokifanya ni kibaya kwa mustakabali mzima wa mwili na akili yako maana kuna stage za majonzi(grief) lazima upitie na si lazima upitie zote kwa pamoja maana inategemeana na umekua kwa kiwango gani (kimapenzi) .

Na nilichoona ni kwamba huyo mpenzi wako ulimpenda sana so naweza kusema ndo mwanamke wako wa kwanza kumpenda hivyo(simaanishi wa kwanza ku sex naye ,japo inaweza nikawa sawa pia.)

Kwa hvyo cha kufanya achana na hyo tabia ya ku date hovyo na kuwaumiza hao ke kisha tafuta hobby au kama ni kazi concetrate sana kazini kisha KUBALIANA NA HALI na ukijiskia kulia lia cha msingi acha hisia zako ziwe huru utajikuta una improve kila muda unavyozidi kwenda who knows ? Inaweza kuchukua mwezi ,miezi,mwaka lakini utapona tu .

Kwa muda unao heal jaribu kujiepusha na mahusiano mapya .

Am out.
 
Back
Top Bottom