Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
Nyerere-Quote.jpg
 
Wako wapo wenye maoni kama haya, wajanja wachache waliaza na kuhodhi mali kama ardhi kama alivyotabiri mwalimu, baada ya kumaliza kuhodhi mali sasa wanahodhi madaraka ili kujilinda. Kwa hiyo kilichopo sasa ni kwamba wao wanamali na mamlaka. Kazi ipo
 
Mungu alimchukua Mwl. Nyerere kwa wakati aliopenda yeye. Kwangu mimi ingekuwa amri yangu angeendelea kuwapo ili awakaripie hawa wafalme wa tamaa! Mapenzi ya Mungu yatimizwe.
 
Sasa siyo ardhi tu, kila kitu kinapigwa bei na serikali ya ccm, utu wa mtanzania hauthaminiwi tena chini ya utawala wa ccm.
wazungu wanaabudiwa kama miungu chini ya utawala wa serikali ya ccm
 
Inaelekea huyu Mzee aliharakisha sana kuyanena haya.

attachment.php
 
Tatizo viongozi wetu hawana muda wa kusoma nukuu muhimu kama hizo. Wao ni chama kwanza utaifa baadaye. Tuna wakati mgumu.
 
Wakati wa utawala wa huyu mzee kulikuwa na shida sana mpaka sabuni ya kuongea/kufulia, kulikuwa hakuna.
 
Wakati wa utawala wa huyu mzee kulikuwa na shida sana mpaka sabuni ya kuongea/kufulia, kulikuwa hakuna.

Na aliiacha hadhina ikiwa empty kabisa kiasi kwamba Mzee Ruksa alitumia jitihada kubwa kuijaza then Ben akajineemesha! Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
 
Wakati wa utawala wa huyu mzee kulikuwa na shida sana mpaka sabuni ya kuongea/kufulia, kulikuwa hakuna.
Shida ilikuwa ni kwa wote, kitaifa. Sasa wapo wanaokula na kumwaga majalalani huku wengine wakifa njaa!
 
Back
Top Bottom