Haya ya s.h. Amon hayakubaliki kabisa;mungu aingilie kati

Status
Not open for further replies.
Acheni wivu wao kike (sorry madam b). Kwa wenye experiencs ya kuajili wafanyakazi wengi wanaboa sn..... kile anachotakiwa kufanya hafanyi. Siamini kwamba unafukuzwa tu bila sababu. Huyo aliyekaa miaka kumi ni bora ashukuru pia kwa kusitiriwa kwa kipindi chote hicho na sio vzr kumkashfu mtu aliyekusaidia kiasi hiko, hiyo inakuwa sawa na kunyea kambi

UNAPOSEMA ''amekusaidia''UNAMAANISHA NN?YY NDIO ANASAIDIWA BIASHARA INAKUWA.NATUMIA NGUVU AU UJUZI WNG ILI YY AFANIKIWE NA MM PIA
 
Mg
ogoro mkubwa umezuka kwenye kampuni ya SH AMON...INAYOUZA VIPODOZI na kuendesha shuguli za mahoteli....baadhi ya wafanyakazi waliofukuzwa kazi wamepokea barua zao bila ya kupewa chochote...

Kati ya wafanyakazi waliopewa barua hizo wapo walioitumikia zaidi ya miaka kumi.....wafanyakazi wamepeleka malalamiko yao kwenye tume ya usuluhishi...iliyopo chini ya wizara ya kazi vijana na maendeleo ya vijana

wanaitaji tume hiyo kumuamuru mwajiri kulipa mafao yao kwa kila mtu kutokana na muda wa kazi aliofanya....wafanyakazi waliofukuzwa wanadai kiinua mgongo na wengine cha hadi miaka 10 ..na wengine wanadai mishahara mpaka sasa...
Tayari Tume imemwita mwajiri sh amon na walalamikaji lakini hakuna kinachoendelea baada ya mwajiri kuwaarifu yeye watakutana mahakamani hakuna mwenye kumlazimisha kwenda kwenye majadiliano...
Mkurugenzi wa SH AMON alipoulizwa alisema wanaolalamika wakutane naye mahakamani.... hataki maswali nje ya mahakama...niemsema sitaki kumsikia mtu akinipigia simu tena tena mkome nyie waandishi mmerogwa alisikika akitukana na kutoa kejeli za maneno mengine yasiyoweza kuelezwa kwa jamii....huyu bwana anaonyesha UDIKTETA kabisa.....

Wafanyakazi wengi wamekuwa wakifokewa ama kuachishwa kazi kutokana na kutoka aouting na mzee...haya ndio mambo yanayoendelea pale S.H. AMON karibu kila mtu amekuwa akitembea na mmiliki mpaka wanawake wenye ndoa zao.....wafanyakzi wanatishwa kila siku
wampe kitu cha tindikali kama hsc.
 
Mgogoro mkubwa umezuka kwenye kampuni ya SH AMON...INAYOUZA VIPODOZI na kuendesha shuguli za mahoteli....baadhi ya wafanyakazi waliofukuzwa kazi wamepokea barua zao bila ya kupewa chochote...

Kati ya wafanyakazi waliopewa barua hizo wapo walioitumikia zaidi ya miaka kumi.....wafanyakazi wamepeleka malalamiko yao kwenye tume ya usuluhishi...iliyopo chini ya wizara ya kazi vijana na maendeleo ya vijana

wanaitaji tume hiyo kumuamuru mwajiri kulipa mafao yao kwa kila mtu kutokana na muda wa kazi aliofanya....wafanyakazi waliofukuzwa wanadai kiinua mgongo na wengine cha hadi miaka 10 ..na wengine wanadai mishahara mpaka sasa...
Tayari Tume imemwita mwajiri sh amon na walalamikaji lakini hakuna kinachoendelea baada ya mwajiri kuwaarifu yeye watakutana mahakamani hakuna mwenye kumlazimisha kwenda kwenye majadiliano...
Mkurugenzi wa SH AMON alipoulizwa alisema wanaolalamika wakutane naye mahakamani.... hataki maswali nje ya mahakama...niemsema sitaki kumsikia mtu akinipigia simu tena tena mkome nyie waandishi mmerogwa alisikika akitukana na kutoa kejeli za maneno mengine yasiyoweza kuelezwa kwa jamii....huyu bwana anaonyesha UDIKTETA kabisa.....

Wafanyakazi wengi wamekuwa wakifokewa ama kuachishwa kazi kutokana na kutoka aouting na mzee...haya ndio mambo yanayoendelea pale S.H. AMON karibu kila mtu amekuwa akitembea na mmiliki mpaka wanawake wenye ndoa zao.....wafanyakzi wanatishwa kila siku

@PDIDY, kaa mbali na tindikali! huyu bwana anaonesha jeuri kwa kuwa inasemekana kuwa Mkuu wa Kaya toka pale magogoni naye anahisa kwenye hayo mahoteli ndiyo maana hakuna mtu wa kumgusa. KALAGHABAHO!

 
Duh! Mwaka wa uzi sikuangalia. Lakini kuhusu kiinua mgongo, ninayosema ndio hivyo kwa kadiri ya Employment and Labour Relations Act. Kama unahoja tofauti, nipe kipengele cha kiinua mgomgo kwenye hiyo sheria tujadili.

kiinua mgongo kipo s.42 of ELRA, kinipwa kwa anayeachishwa kazi,hakilipwi kwa anayeachishwa kazi kwa misscondunct,na katika new ammendment ya 2010 ya kifingu hicho kiinua mgongo hakilipwi kwa mtu anayemaliza mkataba,kabla ya marekebisho hata anayemaliza mkataba alikuwa analipwa
 
@PDIDY, kaa mbali na tindikali! huyu bwana anaonesha jeuri kwa kuwa inasemekana kuwa Mkuu wa Kaya toka pale magogoni naye anahisa kwenye hayo mahoteli ndiyo maana hakuna mtu wa kumgusa. KALAGHABAHO!


rekebisha color unayotumia inaumiza macho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom