Elections 2010 Haya ya miaka miwili tu JK ameyatekeleza?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Katika kipindi cha miaka miwili: 2005 na 2006; JK aliahidi (mengine zaidi ya mara moja) kama ifuatavyo:Good governance (accountability, corruption); electricity, education, water, infrastructure ikiwemo transport, gender, agriculture, health ikiwemo AIDS, employment ikiwemo kuboresha mishahara ya wafanyakazi, poverty reduction ikiwemo kutoa loans, security, mining, revenue/ contracts (HakiElimu, 2006 na 2007). Frequency ya ahadi hizi zote ni 52.

Je, ni mangapi kati ya haya ameyatekeleza mpaka sasa hivi; yaani yamekuwa ni historia!? Inakuwaje anayarudia tena mwaka huu kwenye kampeni zake za uchaguzi mkuu wa Oktoba 31, 2010?
 
Afya yake tu imemshinda, je ya watanzania walio wengi ataweza?!
 
Waandishi wawe wanawabana hao watu na utekelezaji wao kwa awamu iliyopita. Hivi kutawafanya wasifanye masiara na ahadi watoazo. Wanatakiwa wapimwe kila "quarter" hii itawaweka sawa na kuwafanya wawe "serious" na utekelezaji wa ahadi zao. Mwaka huu inabidi kila kitu kirekodiwe maana inabidi kitumike 2015. Safari hii mipango ya 2015 ni mapema ikitokea wakashinda halali au kwa utata.
 
Nasikia juzi aliahidi wananchi wa Singida kwamba atawajengea daraja.... wananchi wakashangaa wakamwambia..."Mheshimiwa, lakini hatuna mto".... akawajibu kuwa "msiwe na wasiwasi... hata mto nitawaletea..."...:smile-big::confused2::confused2:

Hizo ndio ahadi za Jeikei
 
Nasikia juzi aliahidi wananchi wa Singida kwamba atawajengea daraja.... wananchi wakashangaa wakamwambia..."Mheshimiwa, lakini hatuna mto".... akawajibu kuwa "msiwe na wasiwasi... hata mto nitawaletea..."...:smile-big::confused2::confused2:

Hizo ndio ahadi za Jeikei
Anaahidi hata vitu visivyowezekana, anadhani watu wote ni wajinga.
 
huyu jamaa ana PhD ya AHADISM SISIEMUNOLOGY........:becky::becky:

vote him out..! akamsaidie kazi shekh yahaya.
 
Back
Top Bottom