GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,610
Steve na Ndaro ni Wachekeshaji wanaokuja kwa Kasi sasa katika Komedi na ukiwatizama usipocheka basi Umerogwa.
Jamaa anajua sanaSteve na Ndaro ni Wachekeshaji wanaokuja kwa Kasi sasa katika Komedi na ukiwatizama usipocheka basi Umerogwa.
Kwa jinsi ninavyowakubali sina cha kuwapa ila nawaombea sana Mafanikio mema kwa Mwenyezi Mungu kwa Ukomedi.Binafsi nawapongeza sana. Wamejitengenezea ajira na kuwapa watu wengine ajira pia.
Na Mungu anawabariki. Wanapata maokoto mengi
Ukiona tu GENTAMYCINE nakumbali Mtu au Watu au Kitu basi jua kwa 100% Wako vyema na kiko vizuri. Jamaa wanajua.Jamaa anajua sana
Huwa nacheka sana pale wakikisema kile Kibwagizo chao kama Ukiwakera cha....Mapenzi tu Kuoga....aaaaaaaaaa....!!!Steve kweli hata Mimi ananichekesha. Pwahahahhhhaaaa.
Watazileta wenye nazo.picha kidogo