Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Mkuu utakuwa ulikuwa kilaza wewe jamaa ni wakawaida sana tatizo mbwembwe na msuli tembo nimewapa tabu sana wakati nasoma
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Zungumzia pia tatizo la ukabila kwenye hicho chuo wanachoongoza....tutajie wahaya wanaoongoza/best students huko Mzumbe SUA TIA etc kama hao wako hawajabebwa na kina lecturer Karugendo na Ishengoma waliojazwa hapo udsm
 
Zungumzia pia tatizo la ukabila kwenye hicho chuo wanachoongoza....tutajie wahaya wanaoongoza/best students huko Mzumbe SUA TIA etc kama hao wako hawajabebwa na kina lecturer Karugendo na Ishengoma waliojazwa hapo udsm
Mbona siku hiz kinaongozwa na watu wengine lakini bado best students wanatoka uhayani

Mfano wa mwaka juzi
 
Ndiyo maana elimu inashuka siku hizi, nshomile wanachojua ni majisifu zaidi kuliko kutenda kazi.
Acha ukabila wew na inferior complexity wew.

Hiv nchi ingekuwa wap sasa wasingekuwepo wasomi?
Kwani Waziri WA elimu ni muhaya?
 
Acha ukabila wew na inferior complexity wew.

Hiv nchi ingekuwa wap sasa wasingekuwepo wasomi?
Kwani Waziri WA elimu ni muhaya?


Kitu kinachowaangusha Wahaya ni Ukabila na Majisifu (kupenda sifa).

Wanaweza kuwa na mambo mengine mazuri ila hayo mawili yanawaangusha sana.

Mimi nimepata kufundishwa na Waalimu wa Kihaya wengi toka Primary,Sekondari O &A level na hata chuoni, sijapata kuona mwalimu mzuri hata mmoja wa Kihaya mbali na kuonyesha UJUAJI tu, ---kufundisha ni kipaji, naweza kusema Wahaya hawana vipaji vya kufundisha licha ya uwezo wao wa kuelewa masomo, (aptitude and academic excellence).
 
Kitu kinachowaangusha Wahaya ni Ukabila na Majisifu (kupenda sifa).

Wanaweza kuwa na mambo mengine mazuri ila hayo mawili yanawaangusha sana.

Mimi nimepata kufundishwa na Waalimu wa Kihaya wengi toka Primary,Sekondari O &A level na hata chuoni, sijapata kuona mwalimu mzuri hata mmoja wa Kihaya mbali na kuonyesha UJUAJI tu, ---kufundisha ni kipaji, naweza kusema Wahaya hawana vipaji vya kufundisha licha ya uwezo wao wa kuelewa masomo, (aptitude and academic excellence).
Wewe ukilaza wako, ndio unataka usingizie kabila, nenda ukafundishwe na wagogo wakina Prof. Kabudi, ili uelewe
 
Kitu kinachowaangusha Wahaya ni Ukabila na Majisifu (kupenda sifa).

Wanaweza kuwa na mambo mengine mazuri ila hayo mawili yanawaangusha sana.

Mimi nimepata kufundishwa na Waalimu wa Kihaya wengi toka Primary,Sekondari O &A level na hata chuoni, sijapata kuona mwalimu mzuri hata mmoja wa Kihaya mbali na kuonyesha UJUAJI tu, ---kufundisha ni kipaji, naweza kusema Wahaya hawana vipaji vya kufundisha licha ya uwezo wao wa kuelewa masomo, (aptitude and academic excellence).
Kwa hiyo ni kabila gani lenye kufundisha vema kuliko wahaya?


Hiv Kwa nini walimu wawe wahaya?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ndiyo maana elimu inashuka siku hizi, nshomile wanachojua ni majisifu zaidi kuliko kutenda kazi.
Wewe ukilaza wako, ndio unataka usingizie kabila, nenda ukafundishwe na wagogo wakina Prof. Kabudi, ili uelewe
Au nenda ukafundishwe na Prof. Lipumba akupe ujanja ujanja wa uchumi wake na CUF. Unakuta mtu lina, hali mbaya kimaisha kazi kulalamikia Wahaya Wahaya nakupoteza Megabytes ambazo ungezitumia kwy YouTube kujifunza stadi za maisha, kazi kulalamikia Wahaya Wahaya
 
Wewe ukilaza wako, ndio unataka usingizie kabila, nenda ukafundishwe na wagogo wakina Prof. Kabudi, ili uelewe
Au nenda ukafundishwe na Prof. Lipumba akupe ujanja ujanja wa uchumi wake na CUF. Unakuta mtu lina, hali mbaya kimaisha kazi kulalamikia Wahaya Wahaya nakupoteza Megabytes ambazo ungezitumia kwy YouTube kujifunza stadi za maisha, kazi kulalamikia Wahaya Wahaya


Wahaya mmekosa haya ya ukabila.

Ntakugambira stupid in front of your wife !!.😁
 
Sasa unabisha nini?

Haya are the most intelligent people in Africa after Igbo of Nigeria


Sasa unapoona fahari kuitwa the "most intelligent people" pia usione aibu kuitwa "the most "tribalist" tribe on earth"-- in this case you are second to none-- "hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro" wahenga wamesema, na kasoro yenu ni "tribalism" ikiambatana na "nepotism".

Nilipokuwa sekondari nilisoma na wahaya kadhaa darasani, Kuna Muhaya mmoja alikuwa anaona "Aibu" kuniuliza maswali ya hesabu yaliyomshinda na alikuwa anatoka kwenda kuuliza hayo maswali kwa Muhaya mwingine katika darasa jingine, na alikuwa akienda bila kijificha yaani anakwenda huku akisema mbele yetu "nakwenda kwa fulani akanifundishe".

Mwanzoni mimi nilikuwa siwajui vyema Wahaya lakini nilipoanza kuwajua vyema haikunipa shida tena.

Primary nilikuwa na rafiki wa kihaya "Emanuel Ruta",alikuwa rafiki yangu, alikuwa analeta vitabu vya hesabu vya form one au two vya kaka yake tunafanya pamoja mahesabu ya form one alinipenda kwa sababu nilikuwa nakokotoa kinyama- namshukuru Mungu kwa hilo.

NB, Kuna baadhi ya Wahaya wachache ni poa sana.

Ninasema ukweli kwa sababu Wahaya ni watani zangu.
 
Sasa unapoona fahari kuitwa the "most intelligent people" pia usione aibu kuitwa "the most "tribalist" tribe on earth"-- in this case you are second to none-- "hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro" wahenga wamesema, na kasoro yenu ni "tribalism" ikiambatana na "nepotism".

Nilipokuwa sekondari nilisoma na wahaya kadhaa darasani, Kuna Muhaya mmoja alikuwa anaona "Aibu" kuniuliza maswali ya hesabu yaliyomshinda na alikuwa anatoka kwenda kuuliza hayo maswali kwa Muhaya mwingine katika darasa jingine, na alikuwa akienda bila kijificha yaani anakwenda huku akisema mbele yetu "nakwenda kwa fulani akanifundishe".

Mwanzoni mimi nilikuwa siwajui vyema Wahaya lakini nilipoanza kuwajua vyema haikunipa shida tena.

Primary nilikuwa na rafiki wa kihaya "Emanuel Ruta",alikuwa rafiki yangu, alikuwa analeta vitabu vya hesabu vya form one au two vya kaka yake tunafanya pamoja mahesabu ya form one alinipenda kwa sababu nilikuwa nakokotoa kinyama- namshukuru Mungu kwa hilo.

NB, Kuna baadhi ya Wahaya wachache ni poa sana.

Ninasema ukweli kwa sababu Wahaya ni watani zangu.
We kabila gani Kwanza .

Nami nikuchambue nilioshakutana nao

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwa nin lectures wengi wawe nshomile?


Na sio UDSM Tu hata MUHAS, Bugando hata mkuu wa hospital ya Bugando pia ni nshomile.


Je kairuki hospital na chuo je? Vyote vinamilikiwa na wahaya.

Why wahaya?
Good question.
 
Back
Top Bottom