mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Siku hizi, Mmebakiwa na misifa tu.
Mmesoma lkn chakushangaza toka mpate uhuru HAMNA CHUO KIKUU KAGERA !!
Mmeishia kuishi nyumba za kupanga tu Town hapa, lkn tukienda vijijin kwenu bado wazazi wenu wanalala kwa nyasi.,, majan ya migomba, wanajisaidia vichakan .
Sifa mnazo Town..ila kwenu HAMNA KITU
Kama kuna mhaya hana ghorofa hapa mjini basi huyo amechanganya damu.Ni nyumba chache sana kule uhayani ambazo hazijajengwa kisasa na pengine ni kwa sababu tu ya historia na uatamaduni.Hakuna vijiji vyenye nymba bora kama uhayani.