Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Asilimia kubwa matajiri wa kichaga utajili wao niwanduba fatilia hili utaleta mlejesho.
 
Hizi zama sio za kujisifu kwa kuwa na madigrii mengi, sijui profesa.. tuambie hao uliowataja wamegundua nini kipya katika nyanja zao za kitaaluma. Tanzania au dunia inawatambua kwa kugundua nini?.

Wasomi wetu wengi wameishia kushare taarifa ambazo wengine waligundua. Wao wenyewe hawana kipya..!!
kabila lako halina hata mwalimu wa primary
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Mleta uzi bwana, huko Bukoba mmeomba msaada wa chakula kwa Magufuli juzi hapa mkaishia kukashifiwa, Means hata chakula tu bado ni mgogoro, halafu u come here boasting of intelligence, wasomi hao wamesaidia nini?
Ule mji wa Bukoba unafanana tu na halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Nothing special,
Naskia (I am not sure) Huyo George Kahama aliitwa Sir na Mwl.Nyerere Kama utani tu sababu aliporudi Tanzania Alikuwa anaigiza na kuuishi uzungu,
By the way, Africans we have lots of problems mazee,
Pengine tushukuru hata ujio wa wakoloni, maana I see hata hizo mashule tulijengewa na wazungu,
Besides, Kuna kitu gani tunajivunia Leo 2017 ikiwa bado tunategemea kilimo cha Mvua?
Please msituchoshe aisee..
 
Watu ambao unaweza ukaniambia ni intelligent ni wasukuma kidogo nitakuelewa wamewazidi makabila mengi sana.
 
Tanzania nzima wilaya nilizotembelea nikakuta hadi vijijini Kuna Nyumba bora Ni karagwe na Mbinga
Ukiondoa Wilaya za Dar, Wilaya ya Mufindi - Iringa ndio Wilaya yenye wakazi wenye Pato kubwa zaidi Tanzania, (What do u say?)
Inashinda hata Wilaya za Geita na Mwadui zenye Madini.
 
Mleta uzi bwana, huko Bukoba mmeomba msaada wa chakula kwa Magufuli juzi hapa mkaishia kukashifiwa, Means hata chakula tu bado ni mgogoro, halafu u come here boasting of intelligence, wasomi hao wamesaidia nini?
Ule mji wa Bukoba unafanana tu na halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Nothing special,
Naskia (I am not sure) Huyo George Kahama aliitwa Sir na Mwl.Nyerere Kama utani tu sababu aliporudi Tanzania Alikuwa anaigiza na kuuishi uzungu,
By the way, Africans we have lots of problems mazee,
Pengine tushukuru hata ujio wa wakoloni, maana I see hata hizo mashule tulijengewa na wazungu,
Besides, Kuna kitu gani tunajivunia Leo 2017 ikiwa bado tunategemea kilimo cha Mvua?
Please msituchoshe aisee..
Ndio ukweli sio unasikia Kahama hakua na knighthood kutoka kwa malkia aliitwa tu na mtani wake Mwalimu
 
Watu ambao unaweza ukaniambia ni intelligent ni wasukuma kidogo nitakuelewa wamewazidi makabila mengi sana.
Wasukuma hawa hawa tunaoishi nao hapa Tanzania au kuna nchi nyingine ina kabila linaitwa Sukuma?
 
Wahaya wapo vizur mkuu..pale coet udsm tym nasoma nilikuwa nawaona weng tuu ktk kusoma wanapambana...yes wanapenda sifa so huwa hawakubali kuaibika kuwa wa mwisho class huwa sifa zao zinawasaidia.....sio kwamba n vichwaa sana ila wana juhud za kusoma kwa bidiii
Acha uongo wako, hakuna cha juhudi pasipo upstairs. Tumewaona watu wengi hawajishughulishi kusoma lakini wanatusu mitihani utadhani alikaa kushirikiana na Mwalimu kutunga mtihani. Wengine huwa wanakesha lakini ikifika asubuhi kila kitu kimeshayeyuka. Tupambane tu na hali zetu.
Ninamalizia Hypothesis yangu juu ya makabila vichwa Tanzania kuanzia la kwanza hadi mwisho, just watch out sooner or later nitawawekea makabila yote ya Bongo kwenye Jamii Intelligence.
 
Kila kabila lina watu wenye IQ kubwa, Wahaya ni wengi kwa idadi, pia Wamishenari walipokuja waliwajengea shule hivyo wakapata fursa ya kusoma. Kuna makabila yamefanya vizuri sana kwenye elimu Mf. Wakerewe, Wanyakyusa, Wachaga, Wakurya, Waluo hata Wanyaturu na Wanyiramba wapo wenye IQ kubwa. Kwa Wahaya ni fursa waliwahi kupata pia ni watu wa matangazo sana.
Una uelewa fulani soon nitaweka bandiko kwenye Jamii Intelligence tuone ni Kabila gani la kwanza hadi mwisho kwa akili Tanzania na why?
 
Tarafa ya kiziba mkoani kagera wilaya mpya ya missenyi, ndiko sehem ambako wanapatikana maprofessa 1/3 ya maprofessa walioko Tanzania, sababu ni kama ifuatavyo
1. Wamisionary walikaa kule mapema , na ikawa sifa kwa aliyekuwa anasoma kama wamisionary hivyo watu wa kiziba wakawa na mwamko wa elimu mapema
2. Miundombinu ya elimu nchini Uganda ilikuwa imara zama zile ikapelekea wanakiziba kwa kuwa wapo maeneo ya kanyigo karibu na Uganda wasome kule maana wazazi wa zaman walitaman watoto wao waende shule ambazo kwa kusema ukweli huku hazikuwepo, ila wakaamua kuwapeleka Uganda,
3. Baada ya wao kupata elimu Uganda wakawa na mifumo ya kuanzisha shule mbalimbali za TARAFA, hazikuwa za kata zilikuwa za TARAFA nyingine mikononi mwa serikali japo zilijengwa na wananchi na nyingine za binafsi mfano, BWABUKI, BURUDEA, TWEYAMBE, KADEA, KABALE, MARUKU, MUGEZA, OMUMWANI , nk, hizi zilisaidia sana watu kwenda shule hata kama hawakuchaguliwa na serikali, hivyo ikasaidia kuongeza idadi ya wasomi
4. Kiziba wanasoma kwa ushindani na anasoma akiwa na role model wake mfano wao wanasoma ili wawe kama fulan aliyewatangulia
" ninesoma kule japo kwetu Mara ,baba yangu alikuwa ni mhasibu wa TANICA uko kagera hivyo ikalazimu niwe Kule kimasomo mpaka alivyostaafu" ila darasan ni kama ifuatavyo utasikia kila mmoja
Nasoma niwe kama TA RUGEJUNA,
Nasoma niwe kama na kazi ya TA MULOKOZI
Nataka nije niwe kama TA NDYANABO
nataka kusoma alivyosomea TA RWEGASIRA
na kwa kipindi hicho huyo ambaye unataka kuwa kama yeye akikusikia anakusaidia, hivyo ikaansha ari
5. Waliosoma mapema waliwasaidia ambao wamekwama hasa kwenye ada au kuwataftia shule,
Mfano mzee Balyagati ana program ya kusomesha watoto wasiopingia 1000 kwa mwaka mpaka vyio vikuu na kuwasomesha had PhD
Mzee Wellington George, ana wasomesha watoto wengi sana hasa pale hekima na tweyambe secondary na wengineo wengi
Kuna mifuko ya kusomesha watoto kama GSES, HEDEMORA PARTAGE na mengine

Hayo yote juu yamesababisha kiziba iwe juu na kupelekea kuwa wanapata PhD's wengi hadi professor,

Siku hizi asiyejua anaweza kudhan wahaya hawana ubabe tena kuelimu lakin watu hawa wapo sana mikoa mingine na majina walianza kuyabadili makusudi hawatumii ya kihaya kwa usalama wa elimu yao na Huduma hasa kutoka kwa wasiowapenda

Hivyo ndo mafanikio yako hivyo

Kiziba mpaka sasa wameshatoka si maprofessa tu Bali ukienda sehem inaitwa KIGARAMA KANYIGO KUNA MABIBI AMBAO KILA.NYUMBA WANAONGEA KIINGEREZA KWA UFASAHA, NA WAUME ZAO AU WATOTO WAO WANAISH ULAYA NA KWINGINEKO DUNIAN,

KIZIBA NDO UNAPATA NYUMBA ZENYE HADHI YA KUWA MJINI , KUNA NYUMBA ZIKO KULE HATA BUKOBA MJIN HAKUNA
Hizo sababu siyo za kweli nakuhakikishia na katika uchambuzi wangu wa makabila karibia yote Afrika na mataifa yote duniani, sijawahi kuwa convinced na hizo sababu. Bahati mbaya sana watu wengi wanadhani kule ambayo wameendelea kielimu imetokana na wakoloni kuanzia huko kujenga shule. Hiyo inaweza kuchagua tu kwa asilimia labda kati ya 5 - 10% (kama inaweza kufika huko).
Ni sawa sawa umchukue mtoto asiye na kipaji cha mpira halafu wampe kila kitu kuanzia mkufunzi, chakula, miundombinu na kila kitu, atashindwa tu.
Angalia masuper star wa kweli wa Brazil - Pele, Ronaldo, Ronaldinho, Rivaldo na wengi wengi walianza tu kitaa.
Njooni Jamii Intelligence soon nitaweka bandiko lenye makabila yote na nitayapima makabila hayo kwa vigezo 11 na baada ya hapo mtajua Kabila kuanzia la kwanza hadi mwisho kwa akili Tanzania.
 
Kwa nini basi Inchi yetu hainufaiki kiuchumi na Wahaya hawa.
Mara nyingi watu wenye akili nyingi siyo watendaji kazi/watawala wazuri.
Rais moja mzungu mstaafu wa Afrika Kusini aliwahi kusema " The most inteligent black African can not think beyond one year"
Huu utafiti ulimfanya apewe PHD.
Hatuoni ufahari kwa mtu kuwa na akili nyingi lakini akawa mchoyo kutumia hiyo akili yake kwa manufaa ya wengi.
 
Back
Top Bottom