Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Last edited by a moderator:
Mkuu Mtambuzi una nyota nzuri sana ungelifaa kuwa Hakimu wewe asante kwa mishumaa ya HappyBirthday angalia Maelezo ya nyota yako ya Mizani hapo chini.
Thank you Mamndenyi
Asante sana mkuu wangu Young Master GOD Bless you..........Ohooo Mzee mwenzangu MziziMkavu leo ndio unazaliwa bwana...Hongera sana mkuu miaka 48 sio mchezo...Mwenyezi Mungu akuzidishie na akujalie baraka na mafanikio katika mwaka wako mpya wa 48.
Mkuu Ritz asante sana na wewe pia Mwenyeezi mungu akupe afya njema na kila kitu unacho muomba akupe Mungu ameen.Mungu akupe maisha marefu akuepushe na mitihani ya duniani..."Epi bazidei" mtu wangu wa nguvu.
Asante sana Mama Mdogo Mungu akubariki ameen.Mwenyezi Mungu akujalie kila Jema. I wish you a peaceful and enjoyable happy birthday mdogo wangu Mzizi Mkavu
View attachment 73736
Marahaba bibie Zion Daughter Thank you GOD Bless you ameen.Shikamoo MK...Happy birthday to uuuuu..
hahahah bibie King'asti kwani unapomuomba Mungu unamuomba kitu gani zaidi ya uzima afya,Bahati ya maisha ipo ya aina nyingi kupata watoto wema kazi,kupata mume mwema hizo zote ni jami ya bahati kwani wewe unafikiriaje neno bahati? Katika maisha omba upate bahati sio Utajiri bibie bahati ni kitu kizuri kuliko utajiri upo pamoja na mimi bibie?
Mkuu Mentor Thank you and GOD Bless you......Happy birthday brother, wish u God's blessings and joy!!!!
Mkuu prianka asante sana sasa wataka kuniletea Nepi kulikoni? nimgeuka kamtoto kadogo hahahahahah umenichekesha weweeeeeeeeubarikiwe sana na mungu akupe maisha marefu upeo ,hekima na busara hongera sana kwa kuliona jua karibu sana mtoto mzuri nitakuletea nepi badae
Bibie King'asti Nikupe Ofa ya kupunguza unene pasipo na gharma? Fanya hivi kila siku ( Kwa ajili ya tiba hii ya asili, changanya kijiko moja ya asali mbichi (unheated) na vijiko viwili vya maji ya limau au ndimu katika glasi ya joto au maji vuguvugu (si kuchemsha maji!).bahati nnayo basi kam ndo hivyo, cant complain. Natafuta bahati ya kupungua mwili. Afu unaniuzia chai, nangojea ofa ya ile products zako tuuuu, ndo bahati ilobakia, lol
Asante sana mama D Dada yangu Mwanvita hajambo lakini?Mpelekee salam zangu nyingi tu mwambie nime M miss sana...............Mungu aendelee kukulinda, akupe maisha marefu yenye furaha na amani tele!!
HBD kaka yangu MziziMkavu !!!
ohhh My PretaAsante sana kwa Juice yako nainywa sasa hivi Thank you GOD Bless you.................Happy Birthday MziziMkavu.......