thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
a beautiful lie kills, whilst an ugly truth heals.Mpaka sasa inaonekana kunahujuma ilipangwa na IMF kuihujumu Tanzania dhidi ya takwimu za kiuchumi,
Naipongeza serikali kwa kushitukia mchezo huo mchafu,kwa kutoichapisha ripoti hiyo,IMF walitaka tujikaange .kwa mafuta yetu wenyewe.
Hili limethibishwa leo ikulu na kiongozi mwanndamizi kabisa wa bank ya ADB ,amesema uchumi wetu unakua vizuri na unatarajiwa kukua vizuri kwa asilimia 6 mpaka 7.
Nzuri zaidi ni mwafrika mwenzetu.
Nategemea Zitto ajitokeze na kundi lake kmpinga kiongozi huyu mbobezi wa masuala ya kiuchumi .
Mwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?,na nini lengo lao?
We utakuwa wa kizazi Cha WhatsApp!! Kwani IMF wajomba zetu?IMF inaweza kuhujumu nchi maskini kama hii Tanzania?
Usisahau Tz ni dona kantiriIMF inaweza kuhujumu nchi maskini kama hii Tanzania?
Zitto na mabeberu wanahujumu nchi yetu. TZ ishirikiane na ADB tuachane na IMF.Mpaka sasa inaonekana kunahujuma ilipangwa na IMF kuihujumu Tanzania dhidi ya takwimu za kiuchumi,
Naipongeza serikali kwa kushitukia mchezo huo mchafu,kwa kutoichapisha ripoti hiyo,IMF walitaka tujikaange .kwa mafuta yetu wenyewe.
Hili limethibishwa leo ikulu na kiongozi mwanndamizi kabisa wa bank ya ADB ,amesema uchumi wetu unakua vizuri na unatarajiwa kukua vizuri kwa asilimia 6 mpaka 7.
Nzuri zaidi ni mwafrika mwenzetu.
Nategemea Zitto ajitokeze na kundi lake kmpinga kiongozi huyu mbobezi wa masuala ya kiuchumi .
Mwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?,na nini lengo lao?
Wazungu wamekuwa wakihujumu Afrika tangu karne ya 17 mkuu cheki hapa chini.IMF inaweza kuhujumu nchi maskini kama hii Tanzania?
Yametamkwa na rais wa ADBNa wewe bado tu unapoteza muda kuiamini serikali yako?
Hii ni tajiri sana ,tunapambana namna ya ku exploit rasilimali zetu zitunufaishe,kuhusu utajiri ulioko ardhini kuna baadhi ya nchi ulaya hazinaMna nini cha mno mpaka mhujumiwe?
Amemaanisha uchumi wa namna gani? Kwasababu uchumi ni kama mimba haijifichiYametamkwa na rais wa ADB
Fanyakazi mkuu utayaona maendeleo usishinde humu tu JF na kubaki kulalamika tu! Hapa Kazi Tu.Numbers don't lie!!! Hatutaki maendeleo ya tarakimu tunataka maendeleo yanayoonekana. Uchumi ukikua hata kwa .00001 tutauona, tutausikia mshindo wake. IMF iseme uongo, iseme kweli tutayaona sisi wenyewe. Muda ndio mwalimu wetu. Labda kutokee muujiza na wte tutauona kwa macho yetu wala hatutaambiwa kuwa huu muujiza ndo umetuinua au umetuangusha. Acheni utetezi wa maneno
Naiamini kwa sababu world bank na ADB report zao zinakaribiana why IMF?,Na wewe bado tu unapoteza muda kuiamini serikali yako?
Lini uliwai kusema ukweli weweWe utakuwa wa kizazi Cha WhatsApp!! Kwani IMF wajomba zetu?
Clip ipo tafuta upate kizimaAmemaanisha uchumi wa namna gani? Kwasababu uchumi ni kama mimba haijifichi