Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

Penzi haligawanyiki......kwanini bi wadogo wengi wao wanadharau wake wa kwanza???anajua kabisa mapenzi yamepungua ndo maana kaletwa yeye.


Ukisoma hiyo link utaona jamaa ana mke wa miaka 12
na sasa ana girlfriend wanaishi pamoja
kabla ya girlfriend huyu aliwahi kuwa na girlfriend mwingine aliishi nae na mkewe
but akamuacha huyo mwingine..
so we ukiwa mke ,girlfriend wanaweza kuja na kukuacha tu...
 
Zamani ipi hyo?????wengi wetu watu weusi hatupo wazi katika mabo yetu na zaid kupenda kuzunguka mbuyu.......!!!!!

hata kama ni hivyo ila si unajua kuna kitu kinaitwa globalization na effect mojawapo ni INTERFERENCE OF CULTURE tutabadilika tu!
 
Kukosa uaminifu ni kudeviate kutoka kwenye mkataba. Kama mmeshakubaliana ni open marriage, mke na mume wakiwa na haki sawa, basi hapo uaminifu haujavunjwa. Ila shida ni pale ambapo mmoja anajipa haki ya kuwa kwenye open marriage na huku akiona mwenzie hana haki hiyo. Mimi huwa nafikiria, siku paw akiniletea mke mwingine, nitapata wapi mwanaume mwenye courage ya kuja hadharani kama mume wangu wa nje? Wanaume hawana ujasiri wa kike kabisaa.
 
We cannot control our own desires and we certainly cannot control the desires of others,"

.......But you cannot control the other person's heart and mind. The heart wants what it wants."

nimeipenda hii quote I think it explains a lot..........
 
Kukosa uaminifu ni kudeviate kutoka kwenye mkataba. Kama mmeshakubaliana ni open marriage, mke na mume wakiwa na haki sawa, basi hapo uaminifu haujavunjwa. Ila shida ni pale ambapo mmoja anajipa haki ya kuwa kwenye open marriage na huku akiona mwenzie hana haki hiyo. Mimi huwa nafikiria, siku paw akiniletea mke mwingine, nitapata wapi mwanaume mwenye courage ya kuja hadharani kama mume wangu wa nje? Wanaume hawana ujasiri wa kike kabisaa.

mbona wapo weengi tu
we omba ruksa uone
 
hata kama ni hivyo ila si unajua kuna kitu kinaitwa globalization na effect mojawapo ni INTERFERENCE OF CULTURE tutabadilika tu!

Ha ha ha ha........umeniacha hoi aiseeee,sio kila kitu ni cha kuiga.Tatizo letu yale mazuri tunayaacha ila yakijinga tunayang`ang`ania.
 
mbona umenza na negativity kibao eti kuna mijitu humu ndani lol..........

haa haa sababu kuna threads nyingi watu huwasifia wazungu kwa
kutokupenda wapenzi wengi..
so leo tunaona ushahidi mwingine

na wewe unawaaamini wazungu pia?
 
haa haa sababu kuna threads nyingi watu huwasifia wazungu kwa
kutokupenda wapenzi wengi..
so leo tunaona ushahidi mwingine

na wewe unawaaamini wazungu pia?

nawapenda nawaamini na nilikuwa natamani nije kumpata mmoja hata anioe......

sema basi tu......
 
angalau wazungu hufanya kwa mujibu wa makubaliano yao. :A S 39:
 
Back
Top Bottom