Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

hiyo mambo iishie huko huko
isije tanzania yetu
 
Nadhani hiyo itawafaa wakiristo! Coz kwao ndoa ndoano!
 
Ahahaha, unaweza volunteer? Wanaume waoga sana aisee. Wanawake tuna kifua, hatukawii kulala kwa mtu alieoa na ukiingia ndani sijui unabdili bedsheets mwenyewe ama unalalia ulizokuta? Mweeh

Hapa sidhani kama ni uoga wala ujasiri,tatizo ni "intensity and magnitude" ya tifu la mwanamke na mwanaume,,,,,,,

Madhara ya tifu la mwanaume na mwanamke siyo sawa.
 
Hahaha sasa si ndio uoga wa tifu? Wewe unajua tifu la mwanamke? Anaweza kukumwagia maji ya moto atii
Hapa sidhani kama ni uoga wala ujasiri,tatizo ni "intensity and magnitude" ya tifu la mwanamke na mwanaume,,,,,,,

Madhara ya tifu la mwanaume na mwanamke siyo sawa.
 
Believe you me hicho kifua cha kwenda na kuingia kwenye nyumba za watu wanatupa hao hao wanaume. hauwezi hata siku moja ukakakurupuka mpaka nyumbani kwa watu let alone kwa bedroom bila mualiko. unakuta mtu analetwa na watoto wanaambiwa eti salimia auntie. Mbuzimawe (not u King'asti) so annoying

Ahahaha, unaweza volunteer? Wanaume waoga sana aisee. Wanawake tuna kifua, hatukawii kulala kwa mtu alieoa na ukiingia ndani sijui unabdili bedsheets mwenyewe ama unalalia ulizokuta? Mweeh
 
Penzi haligawanyiki......kwanini bi wadogo wengi wao wanadharau wake wa kwanza???anajua kabisa mapenzi yamepungua ndo maana kaletwa yeye.

jamani nilivyoelewa ni kuwa mpango huu ni kwa wote, wake kwa waume.naona mna comment kana kwamba wa kuletewa wasaidizi ni wamama tu.
 
Na waafrica tunavyopenda kuiga wazungu na kudharau vya kwetu ikija mbona wengi wataiga wataona ndio ustaarabu na kwenda na wakati.
 
Ukisoma hiyo link utaona jamaa ana mke wa miaka 12
na sasa ana girlfriend wanaishi pamoja
kabla ya girlfriend huyu aliwahi kuwa na girlfriend mwingine aliishi nae na mkewe
but akamuacha huyo mwingine..
so we ukiwa mke ,girlfriend wanaweza kuja na kukuacha tu...

Wameoana kwa muda wa miaka 12. Mke wa Michael ambaye anaitwa kamala ndo alikuwa na uhusiano na mwanamke mwenzake kwa kipindi cha miaka 2. Ina maana mke wa jamaa ni msagaji pia. Huenda ana msaga hata huyo dem wa jamaa.
 
Hi ikija bongo itasaidia watu wasi uwane hovyo hovyo
Una maanisha nini ikija bongo. Wakati hii kitu ina kusa practised toka enzi za mababu. Mara ngapi wanawake wansruhusu waume zao kuoa wake wengine na kuishi nso nyumba moja. Hivi unafikiri hii ni tofauti na kuoa wake wawili wa3 wa4 etc.
 
Believe you me hicho kifua cha kwenda na kuingia kwenye nyumba za watu wanatupa hao hao wanaume. hauwezi hata siku moja ukakakurupuka mpaka nyumbani kwa watu let alone kwa bedroom bila mualiko. unakuta mtu analetwa na watoto wanaambiwa eti salimia auntie. Mbuzimawe (not u King'asti) so annoying

Na nikwasababu mwanaume anajua hata kama tifu likianza kati ya hao wanawake wawili yeye mmoja anaweza kulizima ndani ya muda mfupi tofauti na wanaume wawili wakianzisha tifu hata wanawake kumi bado wanaweza wakashindwa kulizima.
 
Hahaha sasa si ndio uoga wa tifu? Wewe unajua tifu la mwanamke? Anaweza kukumwagia maji ya moto atii

Alafu kwa bahati nzuri haujawai kumfumania mpenzi wako/mume wako,......

Hapo ndo ungeona ni jinsi gani kibao kinaweza geuka mpaka ukajishangaa.......
 
hiyo mambo iishie huko huko
isije tanzania yetu
Naunga mkono hoja......

Unajua kwanini? Kiafrika wanaume tutataka tuwe na hiyo haki lakini mwanamke akijaribu hakika ........

Bastora mkononi.
 
Kuna kitu kipya kwa wenzetu kwenye hizo open marriages

kinaitwa POLYAMORY... Kwa ufupi ni kuwa mna ndoa kama kawa
na mna sex kama kawa lakini mume au mke anaweza kuwa
na mpenzi mwingine ambae anatambulika rasmi na sikunyingine
ana lala hapo kwenu na hata kuhamia ikibidi

na kuna mijitu humu inasemaga wazungu sijui waaminifu

sasa someni hii muone.....na jinsi waafrica tunavyowaabudu
wazungu itakuja tu bongo soon...

Couple Has An Open Marriage So Complicated, It's Hard To Keep Track

Kaka kwanza kwenye suala la uaminifu hapo bado upo. Kwa tafsiri ya uaminifu hapo haujavunjwa kwa sababu kuvunja uaminifu ni kwenda kinyume na makubaliano lakini kama mmekubaliana sioni kama kuna kukosa uaminifu. Suala la msingi ni kuwa hii ni mitala pia ila sasa tukifanya sisi waafrika tunaonekana wa ajabu. Kwa mfano mimi wamarekani huwa siwaelewi kwenye suala la ndoa na uhuru. katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kufanya apendavyo hapo hapo inazuia ndoa za mitala sasa uhuru uko wapi??? Halafu mbaya zaidi "three some" inaruhusiwa lakini mitala BIG NO!!!!
 
Duh....! Hiyo kitu mie sitaki hata kuisikia..! Iishie huko huko kwa hao wazungu..!

Na huu wivu nilio nao nitamng'ata mtu pua..! Lol
 
Hahaha, kweli umenikumbusha aisee. Manake wanawake hata kama wanajisikia wana kila sababu ya kucheat, hawathubutu kuonekana hadharani, achia mbali kuleta mtu nyumbani
Believe you me hicho kifua cha kwenda na kuingia kwenye nyumba za watu wanatupa hao hao wanaume. hauwezi hata siku moja ukakakurupuka mpaka nyumbani kwa watu let alone kwa bedroom bila mualiko. unakuta mtu analetwa na watoto wanaambiwa eti salimia auntie. Mbuzimawe (not u King'asti) so annoying
 
Kaka kwanza kwenye suala la uaminifu hapo bado upo. Kwa tafsiri ya uaminifu hapo haujavunjwa kwa sababu kuvunja uaminifu ni kwenda kinyume na makubaliano lakini kama mmekubaliana sioni kama kuna kukosa uaminifu. Suala la msingi ni kuwa hii ni mitala pia ila sasa tukifanya sisi waafrika tunaonekana wa ajabu. Kwa mfano mimi wamarekani huwa siwaelewi kwenye suala la ndoa na uhuru. katiba inasema kila mtu ana uhuru wa kufanya apendavyo hapo hapo inazuia ndoa za mitala sasa uhuru uko wapi??? Halafu mbaya zaidi "three some" inaruhusiwa lakini mitala BIG NO!!!!

WANASEMA nyakati za mwisho halali inakuwa haramu na haramu inakuwa halali

so threesome na mistress yes,kuoa tena no...
 
Back
Top Bottom