snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
NAJARIBU KUIMAGINE!
nimekupeleka The Boss home
af kitu kwa zamu?
ehehhehehheheh my evil mind!
kabla ya hii kitu kuja huku asee mawakili wahakikishe kila mwanaume wa kitanzania ameandika wosia!
kwa wanawake sina shaka sana tushazoea sie!VIFUA TUNAVYO ATIIIII!
ahahhahhaha kwani umekuwa greda la strabag?nikianza mimi mumeo anaweza alie kwa hasira..
Kuna kitu kipya kwa wenzetu kwenye hizo open marriages
kinaitwa POLYAMORY... Kwa ufupi ni kuwa mna ndoa kama kawa
na mna sex kama kawa lakini mume au mke anaweza kuwa
na mpenzi mwingine ambae anatambulika rasmi na sikunyingine
ana lala hapo kwenu na hata kuhamia ikibidi
na kuna mijitu humu inasemaga wazungu sijui waaminifu
sasa someni hii muone.....na jinsi waafrica tunavyowaabudu
wazungu itakuja tu bongo soon...
Couple Has An Open Marriage So Complicated, It's Hard To Keep Track
Ishafika The Boss, Isome hapa imetokea Kigogo jana kwenye Heka heka wameiibua:-
MKE AISHI NA WANAUME WAWILI NDANI YA CHUMBA KIMOJA - Swahili One
Kuna kitu kipya kwa wenzetu kwenye hizo open marriages
kinaitwa POLYAMORY... Kwa ufupi ni kuwa mna ndoa kama kawa
na mna sex kama kawa lakini mume au mke anaweza kuwa
na mpenzi mwingine ambae anatambulika rasmi na sikunyingine
ana lala hapo kwenu na hata kuhamia ikibidi
na kuna mijitu humu inasemaga wazungu sijui waaminifu
sasa someni hii muone.....na jinsi waafrica tunavyowaabudu
wazungu itakuja tu bongo soon...
Couple Has An Open Marriage So Complicated, It's Hard To Keep Track
Kukosa uaminifu ni kudeviate kutoka kwenye mkataba. Kama mmeshakubaliana ni open marriage, mke na mume wakiwa na haki sawa, basi hapo uaminifu haujavunjwa. Ila shida ni pale ambapo mmoja anajipa haki ya kuwa kwenye open marriage na huku akiona mwenzie hana haki hiyo. Mimi huwa nafikiria, siku paw akiniletea mke mwingine, nitapata wapi mwanaume mwenye courage ya kuja hadharani kama mume wangu wa nje? Wanaume hawana ujasiri wa kike kabisaa.