Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Rose kiboko ndugu atakufilisiMbona haiiti?
Amarula yenyewe kachanganya Kiroba na zanzi
Shea widhi asi yua eksipiriensiMajina Ya Rose Nayajua Mwenyewe
Ujue tunao humu JF neno moja kwao tafadhaliMajina Ya Rose Nayajua Mwenyewe
Ukiwa unasoma hizi koments, hakikisha haupo kwenye dala dala au mkusanyiko
Sio wazito katika suala la kutongoza.,na kwa ile sabuni ya roho wachunge sana.Shea widhi asi yua eksipiriensi
Na sometimes kukereka pia kumo humu,kama ni wale watu wa ku~fyonya sijui kusonya,unaweza sonya watu wakashangaa.mkuu unachosema ni kweli ukifatilia baathi ya uzi za jf unaweza ukawa unacheka hovyo kama chizi
Ayaaa!NAKONDA.
Sina uhakika kwa kweli ngoja nimpigie mama mzazi nimuulizePaster unakunywa konyagi?