AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,647
- 4,753
Dah😂😂😂,. Mwenzio anataka awe Laizer we unamkatisha tamaaTupa uchafu huo yangekuwa na thamani yasingepatikana kirahisi hivyo , hizo rangi zisikuchanganye.
Shindii hebu tulia tupige hela🤣Tupa uchafu huo yangekuwa na thamani yasingepatikana kirahisi hivyo , hizo rangi zisikuchanganye.
Yani hayo mawe yawe na thamani halafu huyo mwamba apo pembeni awe bize na kuchati tuDah😂😂😂,. Mwenzio anataka awe Laizer we unamkatisha tamaa
Akipata hata buku nife shindii, haya mawe tumewindia sana ndege huko arusha vijijiniShindii hebu tulia tupige hela🤣
Si anamsaidia kugugo hayo madini jamani😜😜Yani hayo mawe yawe na thamani halafu huyo mwamba apo pembeni awe bize na kuchati tu
Shindii siji tena kukuomba ushauri.Akipata hata buku nife shindii, haya mawe tumewindia sana ndege huko arusha vijijini
Ni uranium.Muuziemi Ayatollah Khamenei mtoto wa Khomein.Haya mawe yamepatikana kwenye uchimbaji wa ujenzi..ni mawe gani? Yana thamani gani? Na soko lake ni wapi?
View attachment 3363397View attachment 3363398View attachment 3363399
Aingie gugo camera ayapige picha halafu asachi aone majibuSi anamsaidia kugugo hayo madini jamani😜😜
Basi ni madini ya ghali shindii😊Shindii siji tena kukuomba ushauri.
Ili um-dig, nyie si ndio diggersMkuu hayo madini unapiga pesa, ukishayauza nitafute 😹😹😹