Haya ni mawe gani?

Haya ni mawe gani?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,647
Reaction score
4,753
Haya mawe yamepatikana kwenye uchimbaji wa ujenzi..ni mawe gani? Yana thamani gani? Na soko lake ni wapi?

IMG_20250604_084204.jpg
IMG_20250604_145811.jpg
IMG_20250604_145814.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250604_145817.jpg
    IMG_20250604_145817.jpg
    530.1 KB · Views: 14
mkuu naweza kuyachukua kwamahitaji katika shughuli zangu njoo dm tupeane mawasiliano tafadhari.
 
Watanzania ni wapumbavu na kujifanya wajuwaji,mwengine anakwambia yatupe ni uchafu,mbumbumbu wa mwisho hayo mawe hayawezi kuwa uchafu yatakuwa na thamani sema ni ndogo.Kesho na keshokutwa wakija wageni wanajiokotea tu utajiri ninyi mnabaki na ujuwaji huku hamna kitu.Mleta mada subiri wataalam watakwambia ni mawe gani na thamani yake.Watanzania punguzeni ujuwaji huku hamjuwi kitu.
 
Back
Top Bottom