mwl frank R I P Jul 11, 2011 78 27 Dec 9, 2011 #1 mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
mkuu,nimeshuhudia kwenye tv sherehe za uhuru miaka 50,mh Lukuvi kuchezesha midomo ni maradhi au maumbile? binafsi nimepatwa na huruma juu ya hali hii.
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,507 11,252 Dec 9, 2011 #2 anachezeshaje mdomo mkuu? Heb fafanua zaidi...
D david shayo Member Nov 21, 2011 21 5 Dec 9, 2011 #3 Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp?
Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Dec 9, 2011 #4 :hatari::hatari: khoooooooooooooo khooooooooooo:hatari::hatari:
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Dec 11, 2011 #5 ni kawaida ya magamba,wanadesturi ya kubinuabinua na kulambalamba midomo!wengi wako hivyo!Hujawahi mwona Nape akifanya hivyo!?
ni kawaida ya magamba,wanadesturi ya kubinuabinua na kulambalamba midomo!wengi wako hivyo!Hujawahi mwona Nape akifanya hivyo!?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Dec 11, 2011 #7 LEGE said: Dalili za ucameroon hizo!!! Click to expand... mabwaku sasa :hatari: :hatari:
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Dec 11, 2011 #8 midomo muangalie NEPI hadi huwa ananikera yaani anakua ka mtoto wa kike kung'ata ng'ata lips
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 Dec 11, 2011 #9 It is called 'panting', alikua anashusha joto la mwili. I bet jua lilikua kali david shayo said: Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp? Click to expand...
It is called 'panting', alikua anashusha joto la mwili. I bet jua lilikua kali david shayo said: Mbna hujamzungumzia jk alikuwa anatoa ulim nje nae vp? Click to expand...