Haya ni mapenzi?

Haya ni mapenzi?

Mna mda gan kwenye ndoa yenu hio? Je mna watoto tayari?

Kwa njins ulivyo elezea inaonyesha ndoa yenu bado changa mno sio mda wa kutosha kusema kuwa anaweza kubadirika.

Ila jipe moyo muombe sana Mungu na mfundishe na yy kushiriki kuomba nae (kufanya nae ibada) ndan kwenu ata adirika kwel na wazaz watampokea
 
Muoneni huyu..😅😅😅unasemaje J...??

Hivi mshahara haujaingia bado
😅😅😅😅😅Huo ndiyo ukweli. Ukiwa na pesa wazazi hawawezi kumkataa mkwe hata siku moja. Tatizo linakuja pale ambapo huna kitu mbona utaisoma namba.
 
Mambo bado we ngoja siku awe mwiba kwny life lako utakumbuka sana simu ya mama ako
 
Nimeishia pale uliposema ukalia sana,
Hasara nyingine hii kwa wazazi
 
Habari za jumapili wadau, ni matumaini yangu mko poa nyote, to cut the long story short ni ivi, miaka miwili nyuma nilitokea kumpenda msichana mmoja mrembo sana, alikua ni msichana wa kisasa nikimaanisha alikua anapelekwa na matukio ya dunia kuparty sana, kunywa pombe,kuvaa mini skirts n.k lakini mbali na mapungufu yote hayo nilimpenda, kasheshe likaja kwenda kumtambulisha kwa wazazi, walimkataa baada ya kumuona, nililia sanaa maana G alikuwa ameuteka moyo wangu na sikuweza kumuona mwanamke mwingine kabisa.

Nikafanya ivi, niliwapuuzia wazazi wangu nikamuoa kwa nguvu, siku ya harusi Mama yangu alinipigia simu na kuniasa nisienda kufunga pingu za maisha kwani ndo utakua mwisho wa maisha yangu, nilipuuzia nikamuoa G

Wazazi walikua hawaji kutusalimia, Japo maisha yetu na G yalikuwa matamu sana, nilianza kumbadilisha G, niliacha kunywa pombe na yeye baada ya muda akaacha baada ya kukosa kampani ya ulevi, nilikua nikimnunulia nguo za heshima, automatically akaachana na zile nguo zake za kutembea nusu utupu.

Sasa ivi niko kwenye process ya kumpatanisha na familia yangu waweze kumpenda.

Kuna muda huwa nawaza haya mahusiano yasio na baraka za Mungu wangu wa pili (wazazi) yatatoboa kweli?. Kiukweli nampenda sana G licha ya mapungufu yake mengi.

Ivi huu ni ukosefu wa akili au niko sawa?
Bro kwanza kabisa nikupongeze kwa kumbadirisha mwanamke unahitaji tuzo inavyoonekana mpaka kakubali kubadirika mnaendana sana usimwache huyo.
 
Vitajisort tu with time.
Unampenda ,amekubali kubadilika.
Ulistood up for your love
Mengine yanakaaga tu sawa.

Hata waliokubalika na Wazazi sio kuwa ndo wana maisha ya amani na Wazazi hao.
Ishi na mkeo kwa amani na upendo.
 
Habari za jumapili wadau, ni matumaini yangu mko poa nyote, to cut the long story short ni ivi, miaka miwili nyuma nilitokea kumpenda msichana mmoja mrembo sana, alikua ni msichana wa kisasa nikimaanisha alikua anapelekwa na matukio ya dunia kuparty sana, kunywa pombe,kuvaa mini skirts n.k lakini mbali na mapungufu yote hayo nilimpenda, kasheshe likaja kwenda kumtambulisha kwa wazazi, walimkataa baada ya kumuona, nililia sanaa maana G alikuwa ameuteka moyo wangu na sikuweza kumuona mwanamke mwingine kabisa.

Nikafanya ivi, niliwapuuzia wazazi wangu nikamuoa kwa nguvu, siku ya harusi Mama yangu alinipigia simu na kuniasa nisienda kufunga pingu za maisha kwani ndo utakua mwisho wa maisha yangu, nilipuuzia nikamuoa G

Wazazi walikua hawaji kutusalimia, Japo maisha yetu na G yalikuwa matamu sana, nilianza kumbadilisha G, niliacha kunywa pombe na yeye baada ya muda akaacha baada ya kukosa kampani ya ulevi, nilikua nikimnunulia nguo za heshima, automatically akaachana na zile nguo zake za kutembea nusu utupu.

Sasa ivi niko kwenye process ya kumpatanisha na familia yangu waweze kumpenda.

Kuna muda huwa nawaza haya mahusiano yasio na baraka za Mungu wangu wa pili (wazazi) yatatoboa kweli?. Kiukweli nampenda sana G licha ya mapungufu yake mengi.

Ivi huu ni ukosefu wa akili au niko sawa?
Hiyo inaitwa "Romeo and Julieth effect"
(Ni lile penzi lililo shamiri baada ya wazazi kutokubaliana Nalo)
 
Back
Top Bottom