Haya ni maono yangu ya usiku!

Haya ni maono yangu ya usiku!

ApolloShadow

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2025
Posts
927
Reaction score
1,927
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
 
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
Tafasiri ya ndoto ni kwamba:

Uchumi wako utaporomoka hadi uombe chumvi ya kuungia maji yenye pilipili kwa jirani ili ulumangire na ugali (maji chumvi kama mboga ya ugali)
 
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
huenda soon ukachukuliwa msukule, kua makini sana gentleman kulala lala kwenye sofa za watu
 
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
Kila mjinga sasa hivi anajifanya muota ndoto au nabii feki. Na nawaambia mtaota sana ndoto na kutabiri ila wenyewe CCM tayari walishapata mgombea wa Oktoba.

Jiandaeni kisaikolojia kwa kuwa Samia hadi 2030
 
Mwezi ni mwanamke ambaye ni MAMA,na nyota ndogo ni mtoto.Mwezi kuanguka chini maana yake mama ameanguka (amefariki).

Nyota ambaye ni mtoto naye amekufa pia.

Watu wenye mavazi meusi wanaelekea huko kulikoanguka mwezi wakiwa na kiongozi mkubwa,walikuwa wanaenda msibani kuomboleza hivyo vifo,yaani kifo cha mama na mtoto wake.

Tafsiri hii nimetumia maandiko kutoka katika Biblia kile kisa cha Yusufu na ndugu zake alivyoota ndoto ya Jua,Mwezi na Nyota vimemuinamia, halafu baba yake ambaye ni Mzee Yakobo akasema ina maana Mimi,Mama yako na ndugu zako kuna siku tutakuinamia?

"Ila ndoto hii akaihifadhi moyoni mwake,na kweli Yusufu alikuja kuwa Waziri mkuu katika nchi ya Misri na akawaokoa na njaa kali iliyotokea katika nchi yao."
 
Yani Nyota ianguke Duniani kisha wewe upate sehemu ya kukimbilia?
Unaujua ukubwa wa Nyota lakini?

Tafuta kazi ya kufanya,Badala ya kufungua ID mpya ungefungua ukurasa mpya wa kuboresha maisha yako.
Laiti angejua tu kwamba kikianguka dunian hata kipande kama burji khalifa hatopata pakujificha
 
Na yale maturubai yanayofungwa pale nyumba nyeupe yanaashiria nini.......watu wa suti nyeusi mbona wamezuia njia zote za pale ferry?
 
Tafsiri ya ndoto hyo ni mbaya sana mkuu
Kwamaa kwamb mwezi huwakilisha nulu ambay huangaza nyakat za usiku ni sawa na macho ambay huangaza ulimweng ni kwamb utapoteza uwezo wa kuona wa jicho lako moja ambay itakuwa ni anguko kubwa kwako ila tatiz6 hlo linatokana na ushirikina ambao utafanywa na watu wako wa karibu ambao ni wakubwa kwenye ukoo wako kupitia nyota yako. Kwahyo mkuu fanya dua sana sali sana ili uepuke huo mtego.
 
Back
Top Bottom