Haya ni maono yangu ya usiku!

Haya ni maono yangu ya usiku!

Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
It's over, over, over !!🙏🙏🙏
 
Sasa hivi ni vita ya wahuni kwa wahuni, Mungu hachezewi. na damu za watu ni ROHO na humlilia Mungu.
Ole wenu enyi watu kwa maana mmelaaniwa toka sasa.
 
Yani Nyota ianguke Duniani kisha wewe upate sehemu ya kukimbilia?
Unaujua ukubwa wa Nyota lakini?

Tafuta kazi ya kufanya,Badala ya kufungua ID mpya ungefungua ukurasa mpya wa kuboresha maisha yako.
Ndiyo maana ikaitwa ndoto.
Unaweza kuita unapaa angani wakati kisayansi au uhalisia binadamu hawezi kufanya hivyo.
Ndoto ziheshimiwe mkuu.
 
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.
Mwenye masikio, na Asikie neno Hili Ambalo Bwana Anena na kanisa.
 
Naliona mwezi katika mawingu, na ghafla tukiwa tunatembea na mtu, ndipo nikamuambia angalia ule pale mwezi mwingine huo ni wa pili, nikawa nashangaa kwasababu haikuwa kawaida.

Ghafla mwezi mmoja ukaanguka chini na kulipuka kama bomu la nuklia, katika sehemu ya mji katika dunia hii.

Nikiwa naenda mbali na mji ule ili kujiepusha na athari za ule mwezi mmoja uliongukaz ghafla nikaona nyota ndogo pia ikianguka katika sehemu nyingine ya mji.

Ndipo nikaendelea mbele na safari ya kuwa mbali na athari ya vile vitu, ghafla nikaona kiongozi mmoja mkubwa katika nchi, na kundi la watu wakiwa wamevaa mavazi meusi wakiwa wanaelekea kule ambapo mwezi ule mmoja umeanguka na ile nyota .

Mwenye kufahamu na afahamu.

C.c Tayana-wog ..Unaweza pata picha huu Uzi ni wa Jul 20.. weekend upite maeneo kula suti yako nzuri tunaangusha swala mzima
 
Yani Nyota ianguke Duniani kisha wewe upate sehemu ya kukimbilia?
Unaujua ukubwa wa Nyota lakini?

Tafuta kazi ya kufanya,Badala ya kufungua ID mpya ungefungua ukurasa mpya wa kuboresha maisha yako.
Nyota ni mtu.

Refer ndoto ya Yusuph, aliona jua mwezi na nyota zimempigia magoti.
 
Back
Top Bottom