Haya ni mambo madogo sana kwa wengine, ila kwangu ni magumu sana kiasi cha kushindwa kuyafanya au kushiriki kabisa

Haya ni mambo madogo sana kwa wengine, ila kwangu ni magumu sana kiasi cha kushindwa kuyafanya au kushiriki kabisa

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
919
Reaction score
2,155
1- Kwenda sokoni kununua bidhaa za nyumbani.

Kwangu hili jambo nigum sana kwasababu nashindwa kufanya mamuzi sahihi.
hii nibaada ya kundi kubwa la wafanya biashara mmoja baada ya mwingine kua kwenye tabiri yenye matarajio kwamba pesa yangu mimi mteja niyeye mwenye kustahiri kuipata kuliko mwingine.

2- Kukaa kitako au kushiriki maongezi na mtu anae lalamika muda wote wa maongezi yetu.

3- Kushiriki au kutoa msaada wowote wenye mtazamo wa kumchoma mwizi au kumpiga mawe hadi afe.

Hayo mambo3 kwangu mimi ndio mambo magumu sana.

Karibu sana nawe, utushirikishe mambo yako hapo chini kwenye comments.
 
Ya kwanza Huwa nafanya mwenyewe hata mke wangu Huwa anapumzika Mimi ndio naenda huko(imenifanya niwe napata hata vimada huko).

Ya pili nishazoea malalamiko Tena nakusikiliza huku ntakupa moyo ili uone ishu yako ni ndogo tu.

Ya Tatu sio kuchangia kumpigia mawe tu mwizi,nikimkamata anaiba kwangu huyo namtia kisu Cha mbavu Mimi mwenyewe aende akafie mbele.
Nina uadui mkubwa sana na wezi.
Kwahiyo kumuua mwizi kwangu ni ushujaa sio dhambi
 
Ya kwanza Huwa nafanya mwenyewe hata mke wangu Huwa anapumzika Mimi ndio naenda huko(imenifanya niwe napata hata vimada huko).

Ya pili nishazoea malalamiko Tena nakusikiliza huku ntakupa moyo ili uone ishu yako ni ndogo tu.

Ya Tatu sio kuchangia kumpigia mawe tu mwizi,nikimkamata anaiba kwangu huyo namtia kisu Cha mbavu Mimi mwenyewe aende akafie mbele.
Nina uadui mkubwa sana na wezi.
Kwahiyo kumuua mwizi kwangu ni ushujaa sio dhambi
daaah hicho kisu chambavu imebidi ni hakikishe kama kweli zangu zipo salama.
hongera sana kwaujasiri ulio nao mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom