Haya ni mahaba au ujinga?

Haya ni mahaba au ujinga?

3b1d7839022fc69ea90dac79495ae1f5.jpg
kwa miguu hii? Yataka moyo
 
Hahahahaha umeangalia dole gumba lako halaf umewaza jamaa analifyonza namna hiyo...

Aisee
Si bora hata langu lina mvuto ati, hilo hata kuvutia halivutii sijui hata stimu zinatoka wapi aisee

ila huyo mwanamke ana vidole vibaya kwakwel
 
Najisikia kutapika. Ila maisha, wanaadamu tu waajabu sana. Mimi ninachokichukia, wengine wakipenda sana: RUKSA! Kila.... na mbuyu wake.
 
Back
Top Bottom