Haya ni mahaba au ujinga?

Haya ni mahaba au ujinga?

....ujinga ni pale unapotaka kujifanya kuwa wewe ni fundi wa mapenzi zaidi ya JAMES BOND....Mr 007.

Kwa namna yoyote ile ni lazima ukubali kuwa na ku act UZOMBI.....

Hivi hushangai na kujiuliza ni vipi mwanaume anakuambia ana UTI....!!

Baadhi huugua kupitia njia ya MDOMO....!!
Kwa kujifanya ni MABINGWA wa kwenda UVINZA.....

Duniani hakuna fundi wa MAPENZI zaidi ya KU RISK....!!
 

Attachments

  • 1481831352920.jpg
    1481831352920.jpg
    20.4 KB · Views: 32
Back
Top Bottom