Haya ni mahaba au ujinga?

Haya ni mahaba au ujinga?

Jamaa amejihakikishia hakuna fangasi funza isije mdomo kupinda
 
Duu! kuna vitu vingine wanawake wanafanyiwa na wanaume wenzetu hadi inaogopesha kuona,mwanamke ananyonywa kei,mguu,kwakunyea(pamoja na harufu ya kinyesi),masikio(pamoja na nta iliyomo ndani) n.k.
Ukiangalia wengi wanaofanyiwa ni wake za watu au michepuko,na wanaofanya hivyo unakuta kuna udhaifu flani anao mfano;udhaifu wa kiuchumi(hivyo mwanamke anamwezesha) au haamini kuwa kwa hadhi yake anaweza kumiliki mwanamke wa hivyo.Kwakweli inakera yaani utadhani jitu flani hivi lenye laana ya aina yake,inaboa sana.
 
Back
Top Bottom