Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,956
Hayo maneno ya kuwa hawana nguvu yapuuze kabisa, yanaenezwa na wa mikoani kwa wivu wao dhidi ya wa dar.
Usiombe kukutwa na nguvu za wala chips wa dar, hutakaa urudi tena mikoani!![]()
Watu wa dar wengi wao laini laini mno



