Haya ndo Mahindi ya Dar!

Haya ndo Mahindi ya Dar!

Wa kwanza anasema ulirudisha muamala eti ulikosea namba ukamuacha na madeni,sasa inabidi utume mwingine tena u double amount ya ule wa kwanza.

Mimi ni rafiki yako na rafiki yake pia
Hivi mnanitaka nini lakini? Wakwanza wenyewe alitafuna mpunga, sasa nimtumie tena wapili, alaf mbona kama upo upande wake?

Kwani wewe rafiki yangu au rafiki yake? hahahahahahahaaa
 
Yaan nimepaliwa ile mbaya,nikashindwa kujizuia maaana hamna namna
 
Wa kwanza anasema ulirudisha muamala eti ulikosea namba ukamuacha na madeni,sasa inabidi utume mwingine tena u double amount ya ule wa kwanza.

Mimi ni rafiki yako na rafiki yake pia

Haiwezekani ukawa rafiki yetu wote. Weka upande wako. Kwani na wewe unatumia mahindi ya Dar?
Ule muamala ku double inabidi nidundulize mishahara mitatu.....naona alikupiga fix asikugawie fungu.

Ndio madhara ya kuwa na rafiki janja janja.
 
The different btn a trader(wa mikoani) and an entrepreneur(wa Dar).
 
Back
Top Bottom