Haya ndo Mahindi ya Dar!

Haya ndo Mahindi ya Dar!

Ndio bro. Kuna tatizo ?
kitambo sana,nadhani hata nilikuwa sijielewi,yaani tangu that time until today kama haujawi kurudia kwenda huko ni kama haujawahi kwenda tu,maana kila kitu kitakuwa kimebadirika,kuanzia watu,majengo na mzingira tu kiujumla..
 
Acheni unafiki bana. Limao na pilipili vina shida gani kwenye muhindi? Mkila mnakuwa doro au?
 
Yaani mate yashanijaaa kwa hamu,..afu ile supu ya pweza uimwagie juu ya hindi kidoogo kwa juujuu heheeehe...jamaniiiii sio kunogaaa,.

Hii ni balanced diet ama? naona mboga za majani, pulipili, ukwaju, maembe mabichi, ndimu, limau...sasa hapo ladha sijui ni ya mahindi au mchanyanto?
 
Back
Top Bottom