MARUMARU
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 250
- 53
Nape ni mtu wa ajabu kweli waliokimbia shule ni CHADEMA au ni akina AMINI na vyeti vya kuunganisha na gundi ndani ya CCM tukianza kuuliza kuhusu elimu watabaki wachache kwani hata huyu Dr. JK hajui presentation za hiyo Phd zinafanywaji coz kabeba title kubwa kuliko uwezo wake wa akili. Jipange