Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,730
- 519
ingawa nmechelewa kuingia kwenye huu uzi lakini ningependa kujua Nnauye Jr ameandika nini! maana hata mdogo wangu ambae ni kiranja mkuu shule ya kata hawezi kuandika hivi!
kwenye uzi huu wa nape hakuna hoja yoyote zaidi ya mipasho!
tittle na content haviendani hata kidogo!
naomba mnisaidie wadau kulinganisha alichoandika Nauye na Mnyika nani kati yao ni kiongozi?
Dhaifuu
kwenye uzi huu wa nape hakuna hoja yoyote zaidi ya mipasho!
tittle na content haviendani hata kidogo!
naomba mnisaidie wadau kulinganisha alichoandika Nauye na Mnyika nani kati yao ni kiongozi?
Dhaifuu
Last edited by a moderator: