Haya ndiyo maajabu ya kivuli chako

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,907
6,700
Kivuli ni muonekano halisi wa Roho yako au nafsi. Kiroho wewe halisi ni yule wa kwenye kivuli.

Yani unasoma,unakula unafanya kazi n.k, basi hizi kazi zote ni kivuli.

Kifupi kwamba kile kivuli ni wewe.

Unapozungumzia kivuli, jua kwamba unazungumzia elimu ya mwanga.

Mwanga kazi yake kuu ni kuangaza kwenye Kiza na kutoa taswira halisi.

Binadamu, anapopigwa na jua kupitia mwanga wa jua ambao ndani yake inanguvu iitwayo NOSEMIRROR.

Tabia ya NOSEMIRROR ni kunyonya asili ya kitu na kukitoa Kama picha.

Hivyo binadamu anapopigwa na jua, nosemirror unyonya asili ya binadamu yule na kumtoa Kama kivuli. Hii ni tabia ya mwanga ambao kiasili huonyesha nature ya kitu.

Mfano, jini akijibadilisha hata kuwa nani lakini ukiangalia kivuli utaona asili ya umbile lake kamili. Sisi binadamu tuna cover la milele isipokuwa majini hawana cover utumia kubadili macover.

Hivyo sisi tukipigwa na jua ndo tunaonekana kilicho ndani ya cover hili na hata jini abadilike kuwa nani akipigwa na mwanga taswira itakayo toka ni ya kitu kilichopo ndani ya cover.

Na hii ndiyo sababu inayofanya majini wakae ndani mwetu na pia watembee usiku na wakitembea mchana wajitande ili kuficha uasilia wao.

Kivuli, picha, nk ndiyo wewe, ndomana jini kwenye kioo,camera na kivuli huonekana live.

Pia nguvu hii ya Mwanga unaweza kuitumia na kuona kivuli cha mwenzio na kilichopo ndani yake.

NB:
Chukua kioo weka kwenye safuria au beseni au chombo chochote kisha weka maji, halafu jiangalie. Kisha ulete mrejesho hapa
 
Kwa hiyo nyumba ikipigwa na jua tunaona kivuli cha nyumba ambacho ni roho ya nyumba??

Au gari likipigwa na jua kile kivuli cha gari ndiyo roho ya gari??

Kijana, acha kutulisha matango pori.
Mimi nimezungumzia kivuli cha binadamu wewe Kama unazungumzia kivuli cha vitu gari, nyumba, baiskeli nk huo ni uzi wako sasa tunajiandaa kujifunza!
 
Mimi nimezungumzia kivuli cha binadamu wewe Kama unazungumziaje kivuli cha vitu gari, nyumba, baiskeli nk huo ni uzi wako sasa tunajiandaa kujifunza!
Bwana mdogo elewa kuwa kitu chochote kile ambacho ni physical, kikimulikwa na mwanga ni lazima kitoe kivuli to the opposite side of the source of light.

Sasa ukituambia eti kivuli cha Mwanadamu ndiyo roho yake unatudanganya na sisi wenye akili zetu huwa hatukubali kudanganywa.
 
Kivuli ni muonekano halisi wa Roho yako au nafsi. Kiroho wewe halisi ni yule wa kwenye kivuli.

Yani unasoma,unakula unafanya kazi n.k, basi hizi kazi zote ni kivuli.

Kifupi kwamba kile kivuli ni wewe.

Unapozungumzia kivuli, jua kwamba unazungumzia elimu ya mwanga.

Mwanga kazi yake kuu ni kuangaza kwenye Kiza na kutoa taswira halisi.

Binadamu, anapopigwa na jua kupitia mwanga wa jua ambao ndani yake inanguvu iitwayo NOSEMIRROR.

Tabia ya NOSEMIRROR ni kunyonya asili ya kitu na kukitoa Kama picha.

Hivyo binadamu anapopigwa na jua, nosemirror unyonya asili ya binadamu yule na kumtoa Kama kivuli. Hii ni tabia ya mwanga ambao kiasili huonyesha nature ya kitu.

Mfano, jini akijibadilisha hata kuwa nani lakini ukiangalia kivuli utaona asili ya umbile lake kamili. Sisi binadamu tuna cover la milele isipokuwa majini hawana cover utumia kubadili macover.

Hivyo sisi tukipigwa na jua ndo tunaonekana kilicho ndani ya cover hili na hata jini abadilike kuwa nani akipigwa na mwanga taswira itakayo toka ni ya kitu kilichopo ndani ya cover.

Na hii ndiyo sababu inayofanya majini wakae ndani mwetu na pia watembee usiku na wakitembea mchana wajitande ili kuficha uasilia wao.

Kivuli, picha, nk ndiyo wewe, ndomana jini kwenye kioo,camera na kivuli huonekana live.

Pia nguvu hii ya Mwanga unaweza kuitumia na kuona kivuli cha mwenzio na kilichopo ndani yake.

NB:
Chukua kioo weka kwenye safuria au beseni au chombo chochote kisha weka maji, halafu jiangalie. Kisha ulete mrejesho hapa
Kuna wataalamu kama mtu amechezewa kichawi huwa wanatibu kivuli chake, dawa wanaweka kwenye kivuli kama ni chale wananchanja kwenye kivuli chake.

Speaking from experience
 
Back
Top Bottom