kuna madogo walienda JKT wakiwa na matumain hat ya kuajiliwa hata upolisi, wakamaliza 3 years na miezi. na bado wakachukuliwa wachache kwa kigezo cha walienda kujitolea kujenga ukuta. its not fair.Namba 9 ina nguvu kubwa sana ya kuimaliza sisiemu.
Hakuna mhitimu wa digrii ya Ualimu masomo ya Sanaa anafurahia kutokuajiriwa tangu 2015 alipohitimu Chuo Kikuu,hakuna!
Vijana hawa wamejiandikisha kupiga kura na wengine wameshachukua fomu kuwania nafasi za uwakilishi.Wataimaliza sisiemu mapema sana kuliko inavyotarajiwa...
licha ya elimu au kufundishwa ujasiriamali, bila ya mtaji ni kazi bure, ukiwaona wanavyosafa kitaa unawaza wangekua kitaa wangeendesha hata boda boda life lingesonga kuliko.....mi nawaza tu kwa sauti hivi mama, mjomba,kaka na ndugu wengine wanawaza nini kuhus govt?
kuna vijana wana TEN years kitaa na degree zao, ni afadhali wangeenda VETA tu wawe hata mafundi umeme wangekua mbali. licha ya yote hayo Bodi bado inawapa presha ya kuwadai na warudishe fedha za mikopo hata kama huna kazi(nasikia kuna tetesi juu ya hili sina uhakika) .