sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
MUHIMU: Tanzania bado ni nchi yenye wananchi wengi masikini, Hata katika makabila yaliyotajwa (yenye asili ya afrika), bado wenye maendeleo ni wachache, Orodha hii imejikita kwenye uwakilishi wa watanzania wachache wenye maendeleo na kisha kutazama uwakilishi kwa kigezo cha idadi na hatua za kimaendeleo.
Haimaanishi kwamba kila mtu wa kwenye kabila husika ana maendeleo, LA HASHA!! Wapo watu wa makabila yaliyotajwa wana ishi katika ufukara na pia wapo matajiri waliotokea makabila ya chini.
1. Raia wenye asili ya bara la asia - Wahindi, waarabu, wachina.
2. Wachaga
3. Wakinga
4. Wapemba
5. Wasukuma
6. Wahaya
7. Wanyakyusa
8. Wapare
9. Waha
10. Wakurya
Haimaanishi kwamba kila mtu wa kwenye kabila husika ana maendeleo, LA HASHA!! Wapo watu wa makabila yaliyotajwa wana ishi katika ufukara na pia wapo matajiri waliotokea makabila ya chini.
1. Raia wenye asili ya bara la asia - Wahindi, waarabu, wachina.
2. Wachaga
3. Wakinga
4. Wapemba
5. Wasukuma
6. Wahaya
7. Wanyakyusa
8. Wapare
9. Waha
10. Wakurya