Haya ndio majina matatu ya wanachama wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua akimwaga mboga anamwaga ugali

Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
2020 kunahija siikumbuki ila Kafulila alimchanachana sana Lissu kama mgombea Urais wa CHADEMA
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Sahihi kabisa,

Kwenye Siasa huru kama hizi,

Hoja hujibiwa kwa hoja,

Ni wakati wa Chama changu cha CCM kuandaa dawati la Mapambano na hawa CHADEMA.

Lissu na wenzake wanahitaji kupelekwa kihuni zaidi.
 
Kwani Zitto chama chake kinashambuliwa
Daaa umezaliwa mwaka gani,wewe

Kwa ufupi ,mkuu wa chama cha act alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi zanzinzibar alitimuliwa wakati wa bunge la katiba kwa msimamo wa serikali tatu ,na mwenyekiti kamati zao alikuwa samia hasani leo Rais wa jmt ,kwamdogo wetu kafulila nasemaje sikumtaja kwakuwa sivema kumfananisha eti akapambane na lisu , na ukizingatia ni mwalimu shule ya msingi kasulu
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Aisee kumbe kichwani mweupe hivi???!!!! Hili jukwaa siyo level yako.
 
Daaa umezaliwa mwaka gani,wewe

Kwa ufupi ,mkuu wa chama cha act alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali ya mapinduzi zanzinzibar alitimuliwa wakati wa bunge la katiba kwa msimamo wa serikali tatu ,na mwenyekiti kamati zao alikuwa samia hasani leo Rais wa jmt ,kwamdogo wetu kafulila nasemaje sikumtaja kwakuwa sivema kumfananisha eti akapambane na lisu , na ukizingatia ni mwalimu shule ya msingi kasulu
Duu
 
Kabudi wa bunge la katiba na Kabudi wa Leo ni tofauti.
Kabudi wa bunge la katiba: "Muungano unakasoro, haufai kuitwa muungano. Kuundwe Serikali tatu".

Kabudi baada ya kulamba teuzi (Serikali ya Magufuli): "Muungano uko sawa, isipokuwa Kuna changamoto Ndogo Ndogo sana".

Hao ndiyo wanasiasa, wanabadirika kulingana na upepo.
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Tehetehe, umetaja takataka mbili za chini, huyo mwalimu wa family law tumuache kwanza, sijui kama mkewe amepona miguu
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila

..wanaoweza kumjibu Lissu kuhusu muungano ni Waznz kama Othman Masoud, Ismail Jussa, na Wakili Awadh.

..tatizo ni kwamba hoja za hao jamaa zinaitetea Zanzibar, na kukandamiza zaidi Ccm.

..Hoja za Lissu haziwezi kupingwa na Mtanganyika yeyote yule akaeleweka.
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Hakuna kitu hapo!
 
Back
Top Bottom