Abrams
Senior Member
- Apr 27, 2024
- 170
- 189
YesKabudi mjumbe wa kamati ya Warioba walioamini muungano haupo sawa?
YesKabudi mjumbe wa kamati ya Warioba walioamini muungano haupo sawa?
Anayeweza kupambana na lisu ni makonda tu, jalala haeleweki, polepole sawa ila alishakatwa mkia, kafulila hajulikaniLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
Kabudi hamwezi Lissu, Lissu atammaliza kabudi kupitia machapisho yake. Huyo sawa na akina Mwakyembe wanachotuandikia tofauti na wanayotuambia mdomoni!Kabudi atamnyoosha sana
Lisu ni lidude likubwa kama UrusiLissu apewe ubalozi uko atulie, atasumbua sana, Mama afanye hivyo tu
💪💪💪Lissu anahitaji kichwa sio PHDTo me Kafulila is the best japo sio mwanasheria ila anajua siasa vizuri za Upinzani