Haya ndio majina matatu ya wanachama wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua akimwaga mboga anamwaga ugali

Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Anayeweza kupambana na lisu ni makonda tu, jalala haeleweki, polepole sawa ila alishakatwa mkia, kafulila hajulikani
 
"Any fool can tell the truth,but it requires a man of some sense to know how to LIE well"😅
Sasa sijui nnan anauwezo wa kudanganya vzuri aje aseme Tanganyika iko wapi?
 
Hakuna hata Mmoja anayeweza kujibu hoja za Lissu either ziwe za kihuni ama za kisomi kati ya hao uliowataja wote Wana uwezo mdogo sana Kwa LISSU.
 
Back
Top Bottom