Haya ndio majibu yangu mazito na yenye hoja nzito kujibu hotuba ya Askofu Gwajima iliyotolewa Agosti 25, 2025 Usiku

Haya ndio majibu yangu mazito na yenye hoja nzito kujibu hotuba ya Askofu Gwajima iliyotolewa Agosti 25, 2025 Usiku

Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Machizi ya Bawacha hawawezi elewa hii kitu,asante saana,
 
Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kina Baba Levo na Mwijaku ndo level zako za kujibizana nazo kulingana na IQ level zenu, kina Gwajima waachie wenye level zao!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20250729-090555~2.png
 
Kiukweli nikiona mada za huyu jamaa huwa sisomi chochote kwasababu najua yatakuwa mashudu matupu.

Nilikuja kugundua anachoandika ni pumba nyingi baada ya mwanzoni kusoma mabandiko yake kadhaa nikaona hakuna cha kuokota chenye faida hata kimoja.

Huwa na scroll down kusoma comments za wadau tu nifurahi anavyojibiwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha ukenge wako ... Gwajima Jana hahaha na Hoja zaidi ya kupigilia msumali Hoja za Polepole
 
Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani alisema nini? 😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Askofu Gwajima Jana Usiku alikuja na anachokiita hotuba yake baada ya kupita Siku kumi alizopiga Mkwara Mbuzi wa kusema Eti Makanisa yake yafunguliwe haraka sana . Na kwamba yasipo funguliwa atakuja kuongea jambo zito sana.

Sasa Jana baada ya Makanisa yake kuendelea kufungiwa kwa kukiuka sheria na pia kuona hajafanikiwa katika mikwara yake mbuzi na ya kitoto ya kutaka kuitisha serkali yetu na kuipa amri Utafikiri anatoa amri kwa watoto wake nyumbani anaowalisha na kuwavika nguo.

Hatimaye jana Usiku kwa Uso wa Aibu na kutapatapa amekuja na porojo ,ngonjera na kurudia rudia maneno yaleyale ya kila siku kutaka kufunguliwa makanisa yake ambayo amekuwa akitumia madhabahu kupiga siasa na kuleta uchonganishi. Lakini anachekesha zaidi baada ya kuanza kurudia rudia porojo na uzushi wa Humphrey Polepole. Hii ikiwa na Maana kuwa Gwajima alikuwa hana kitu kichwani wala hakuwa na jambo jipya na kwamba awali alipokuwa anatoa siku kumi alikuwa anapiga Mkwara Mbuzi tu au kumtishia mtu mzima Paka au Mdoli au Simba wa kuchora.

Sasa haya Ndio Majibu kwa Hotuba yake .

Suala au Hoja ya CCM kutosikiliza Sauti za wananchi kwa madai kwamba haitegemei kura zao Ni Uzushi na uongo Mkubwa sana. Kwa sababu siku zote CCM ndio imekuwa sauti kwa wasio na Sauti na nguvu kwa wasio kuwa na nguvu. Imekuwa ndio mtetezi wa wanyonge na kimbilio wa wenye kuonewa.imesikiliza sauti za watu na kufanyia kazi.

Mfano Mama yetu Mpendwa na Rais wetu Kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan alipokuwa anaingia madarakani alikuta malalamiko mbalimbali na mengi sana. Mfano alikuta uhasama wa kisiasa,Taifa likiwa limegawanyika kwa misingi ya kisiasa na itikadi za kisiasa,kesi nyingi za kisiasa ,watu waliofungwa na kushitakiwa kwa misingi ya kisiasa,watu kama Lissu na Lema na wapinzani na wakosoaji mbalimbali kukimbia nchi na kuishi uhamishoni kwa kuhofia usalama wao ,vyombo mbalimbali vya habari kufungiwa kufanya kazi na kunyang'anywa Lesseni zao.

Rais wetu kipenzi alikuta pia malalamiko na kilio kutoka kwa watumishi Wa Umma kunyimwa haki zao za kupandishwa mishahara,kupewa nyongeza ya kila Mwaka, kupandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao,kulipwa madeni yao na kero zingine mbalimbali. Mama pia alikuta Vijana wanatia huruma mitaani na degree zao pqsipo ajira ,alikuta pia vijana wa vyuo vikuu wakilia na kuomba kuongezewa Kiwango cha pesa ya kujikimu kwa siku.

Alikuta pia watu wanaishi kwa hofu kubwa sana hapa Nchini mpaka kuongea ilikuwa shida sana . Na kila mtu aliyetaka kuongea aliangalia kwanza pembeni yake kuna nani.

Lakini Mama yetu Mpendwa akiwa Mwenyekiti wa CCM na anayejua misingi ya CCM kuwa ni kutetea watu hususani wanyonge ,kusikiliza watu kusaidia watu,Kugusa Maisha ya watu,kuleta tabasamu,furaha na matumaini kwa watu alianza kazi ya kulipa tabasamu Taifa kujenga na kuliunganisha Taifa,kuwaleta pamoja Watanzania na kutatua kero za wananchi wote kwa kusikiliza sauti ya kila mtanzania. Ambapo hakuna aliyeachwa nyuma wala kupuuzwa Sauti yake.

Ndipo hapa Sasa tukaona Rais wetu Mpendwa akija na falsafa yake ya 4R katika kujenga marifhtna mambo mengijei. Ni hapa ambapo alikaa mezani na watu mbalimbali wenye majeraha mioyoni mwao. Ni kupitia falsafa hii tuliona watu walio uhamishoni wakirejea nyumbani na Amani kabisa bila hofu. Ni ni kupitia hapa tuliona CCM na serikali yake chini ya Jemedari wetu kipenzi ikiruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kuendelea kufanyika.

Umoja wa kitaifa ukaimarika na watu tukaanza kuishi kwa umoja undugu na mshikamano pasipo kubaguana. Hata sasa kuzikana watu wakaanza kushirikiana kabisa tofauti na awali ambapo watu waliangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Ni CCM kupitia Rais Samia katika Kujisahihisha Kwake kama ilivyoandikwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha 'Tujisahihishe' cha Mwaka 1962 ilianza kufunguliwa vyombo vyote vya habari vilivyo fungiwa na kunyang'anywa lesseni zao ili kutoa uwanja mpana zaidi kwa sauti za watu kusikika.

Watumishi wa Umma wakaongezewa misharaha yao mara Dufu kwa 23% hususan wale wa kima cha chini na hata sasa kima cha chini ni Laki 5, madeni na malimbikizo ya madeni ya watumishi wa umma yakalipwa , madaraja kupandishwa kwa watumishi wa umma na kulipwa stahiki zao.

Kulikuwa na tatizo na kilio cha kikokotoo Ambacho kilikuwa ni kilio kwa watumishi wa Umma. Kilifanyiwa kazi na tabasamu,furaha kurejea katika nyuso za watumishi wa umma hali iliyoongeza morali kwa watumishi wa umma. Ajira kwa vijana zikaanza kumwagwa mitaani kila uchao na kila mwaka. Mfano zaidi ya walimu Elfu 89 wamepata ajira wakati huu wa Daktari Mama Samia.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo ikaongezeka kufikia Elfu kumi kwa siku.Mikopo ya Elimu ya juu ikaongezeka kufikia Billion zaidi ya 700. Elimu ikawa bure mpaka kidato cha sita baada ya kutoa Billion 33 kila Mwezi., kilio cha madawati mashuleni mwanafunzi kukosa nafasi wanapofaulu ikaisha baada ya serikali kusikia kilio na kujenga vyumba vya madarasa zaidi ya Elfu 20.

Kulikuwa na kilio cha bei mbaya ya korosho kwa wakulima wa kile kusini baada ya soko lake kuvurugwa hovyo hovyo.lakini leo ukienda kule ni kicheko tu kwa wakulima kama ilivyo kwa wakulima wa kahawa ambao kwa sasa wanacheka tu na kufurahia kazi ya mikono yao.

Kulikuwa na kilio cha kupanda kwa bei ya mafuta na mbolea .lakini Mama wa shoka alitoa ruzuku ya zaidi ya Billion 152 katika pembejeo hususan mbolea na kupelekea kushuka kwa bei. Mfano mbolea ya DAP ilikuwa inaunzwa na kupatikana kwa laki na 20 lakini ikaanza kupatikana kwa Elfu 70 tu. Hata mafuta nayo yalishuka baada ya Mama na serikali yake ya CCM kusikiliza wananchi na kutoa Billion 100 kila Mwezi.

Kwa hiyo unaweza kuona ni vipi CCM imekuwa ikijisahihisha na kusikiliza kero na changamoto za wananchi kila uchawlo. Ndio sababu inaendelea kuaminika na kupigiwa kura kila uchaguzi. Lakini pia ni Mwendawazimu pekee anayeweza kuacha kuipigia kura CCM na kwenda kuupigia kura upinzani na wapinzani njaa ambao hawana misimamo wala wanachosimamia zaidi ya Matumbo yao . Wapinzani ambao wamekuwa wasaliti kwa Taifa letu na wenye kuishi kitumwa kwa kutegemea mabeberu kuwasaidia.

Embu angalia namna CHADEMA ilivyopasuka na kusambaratika. sasa nani wa kuwaamini na kuwapa kura watu wa aina hiyo? Hivi hao ndio wanaweza kushindana na CCM kwenye sanduku la kura? Wao kwa wao hawaelewani na wameshindwa hata tu kuungana na kujenga upinzani imara. Sasa ni vipi wataweza kuwaunganisha watanzania na kujenga Taifa letu likastawi kwa maendeleo kama ilivyo sasa chini ya CCM?

Kuhusu Haki ndani ya CCM. Hapa naona Askofu Gwajima alikuwa hajui hata anazungumza nini. Kwa sababu eti analalamika kuwa kuna watu wameongoza kura za nani halafu hawajateuliwa kugombea Ubunge m swali ambalo ningependa kumuuliza. Je yeye alishinda kura za Maoni 2020? Ndiye alikuwa mshindi? Alishika nafasi ya ngapi kwenye chama? Alipata kura ngapi? Jibu ni kuwa hakushinda kura za Maoni na wala hakuongoza katika mchakato wa kura za maoni za ndani ya chama lakini alipewa nafasi ya kugombea Ubunge kupitia CCM. Sasa kwanini hakukataa? Hii yote ni kwa sababu ni mnafiki sana huyu askofu na aliyejaa chuki binafsi na ubaguzi kwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia. Ikumbukwe kuwa tangia awali mchakato wa ndani ni kura za maoni tu na siyo uamuzi wa Mwisho kimaamuzi. Vinginevyo Gwajima haelewi hata maana ya Neno MAONI na kwanini yeye aliteuliwaga kugombea ubunge licha ya kutoongoza katika kura za maoni.

Suala kuhusu kutokuwepo umoja na mshikamano hapa Nchini au hoja ya kwamba Taifa limegawanyika ni hoja ya uongo mkubwa sana na yenye kuonyesha Upofu wa akili na macho alionao Askofu Gwajima unaoweza kuwa umechangiwa na kuwa na chuki binafsi na ubaguzi tu kwa Rais wetu Mpendwa. Kwa sababu hakuna wakati Taifa kimekuwa na umoja na mshikamano kama wakati huu wa Rais Samia. Sasa watanzania wanaishi kwa amani ,umoja na mshikamano bila kubaguana. Ndio sababu hata katika matukio ya kijamii unaona namna watu walivyo wamoja na kushirikiana kwa pamoja kabisa.

Ndio sababu pia tumeona hata ziara za Rais Samia zikipata mapokezi makubwa sana na ya bashasha na tabasamu kutoka kwa wananchi. Hii ni kwa kuwa watu wana imani kubwa sana na CCM na serikali yake na Rais wetu Mpendwa.kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wenye Kugusa Maisha ya watu.

Askofu Gwajima yeye maslahi yake na kipaombele chake ni makanisa yake tu na kupitia hilo ndio anajifanya kutunga uongo wa kila aina ,kuzusha vitu vya uongo,kujaribu kufanya uchonganishi,kujaribu kutaka kuonyesha kana kwamba kuna vita ya kidini na shambulio la kidini hususan ukristo ili tu Lengo lake litimie la kupata washirika wa kumuunga mkono. Hata hivyo anashindwa kuungwa mkono kwa sababu watu na watanzania wanamfahamu vyema sana na wanamuona tu mnafiki mkubwa anayepiga Ma kelele tu.

Anajifanya kujipendekeza kwa kanisa katoliki na kulitaja taja kila dakika ili kumuunga mkono. Wakati miaka michache tu alimtukana na kumdhalilisha hadharani kiongozi wake mkubwa kabisa na mwenye heshima kubwa hapa Nchini Kadinali Pengo. Mzee wa watu hakuwa na makosa yoyote yake lakini askofu Gwajima kwa mdomo wake uliokosa adabu na kukosa breki alimporomoshea maneno machafu sana kadinali pengo. Halafu leo kwa unafiki Mkubwa anataka kujifanya msemaji wa kanisa katoliki na wakatoliki wote hapa Nchini.

Nitaendelea sehemu au awamu ya pili. Usikose Kunifuatilia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna hii short story by Fr Anthony de Mellow (a Jesuit priest) (alifariki in the late 1980s): The disciple asked the master, "Where's God?" "He's right in front of you," replied the master. "Why can't I see him?" asked the disciple. "Why can't a drunkard find his home?" asked the master in reply. Then, the master concluded: "In order to see you need to be sober."
 
Nimekusamehe bure kabisa maana hujui ulitendalo
Pumbavu Tena na Tena hujui maumivu ya watu wewe kungekuwa na wadhamini wa mtutu hapa Tanzania Leo hisigekuwa hivi. Nawajua unaowatetea na nimeishi nao na kula nao zaidi ya miaka 30 kuanzia huyo kikwete na huyo Rostam,kaa kimya ni swala la Muda tu
 
Waendelee Kumpuuza Askofu Gwajima
Hapuuziki na unajua kabisa kuwa THE TRUTH (UKWELI) HAUPUUZIKI...!

Unaweza kumpuuza mjumbe wa UKWELI lakini huwezi kuipuuza KWELI maana itatafuta namna ya ku - hit back ili ikibwage kiburi cha mpuuzi na wapuuzi...!

Uandishi wako umejaa mizaha, kebehi na kiburi kwa kuwa unaonesha kila dalili kuwa tegemeo lako umeliweka kwa mwanadamu aliye mwovu kabisa na kwa kuwa unaunga mkono uovu wake, basi nawe ni mwovu and you will get the same share of punishment..

Hawa watu: Askofu Gwajima, Humphrey Polepole na Tundu Lissu + CHADEMA ndio watu pekee walioishinda hofu na woga na kuukabili utawala na watawala waovu...

Lucas Mwashambwa, hawa HAWAPUUZIKI. Wewe unalijua hili, na waliokutuma wanajua hili, kwamba HAWAPUUZIKI...!

View: https://youtu.be/7ra152_-8FE?si=j5d-qDmUzEqymKHJ
Unakuja wakati na tayari upo sasa ambapo kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kusema, HAKIKA ULE ULIKUWA UJUMBE TOKA KWA MUNGU YEHOVA...!
 
Yaaawn!! Michosho mitupu ,licha ya kurudia rudia yake ya siku sijui unamdanganya nani aliye mpumbavu kiasi hicho.
Eti Kuna amani na juzi tulisika yule Mzee Muliro akitishia kuua wakati wa uchafuzi.
Bah! Just wasting my time responding to this nonsensical trash.
 
Back
Top Bottom