Haya ndio Majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani kote

Haya ndio Majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani kote

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ulipo sema "wanafariki wakiwa njiani kuelekea hospital" umenifurahisha sana, hiyo ni police tactic.
Hahaha si ndio zawooo,utakuta wanalenga moyo afu wanadai walilenga unyayo
 
Dogo G nikukosoe kwa mara ya kwanza, JKT ni kamandi ya JWTZ inayoshughulikia huduma za kitaifa shughuli za kijamii, ukufunzi wa wanafunzi wa kijeshi.

Unaposema askari wa JKT hawana mafunzo kwa kutolea mfano unakosea sana, inaonekana bado hujui kuhusu jeshi vilivyo. Maafisa wa jeshi hilo kabla ya kupokea ajira hupitia mafunzo ya awali miezi sita na pia ya chuo cha uofisa kama ilivyo majeshi mengine yote. Usiwadhalilishe.

Pia usichanganye kuruti na maservicemen(ambao huvaa nguo za kijani zenye alama za karanga) na maaskari waajiriwa wa JKT.

Service men(wenye gwanda kama mgambo) wamemaliza mafunzo na wapo pale kusubiri post za kwenda kozi za uofisa, wale si waajiriwa wa JKT hata mshahara hawana zaidi ya kuwa na posho kwa shughuli zao kambini.
 
yaani mtu asiyefahamu majeshi anaweza kukupa hongera lakini hujui lolote.
…hujui nini maana ya mafunzo ya awali
...hujui chochote kuhusu makomando na mafunzo yao yaani we unaonekana ni mtu unayependa jeshi hivyo ukapeleleza kwa baadhi ya watu wakakudanganyadangaya ukajiona umejua
halafu unasema eti Jkt ni kurutu...hivi unajua maana ya kurutu? kurutu ni mtu anayepata mafunzo(recruitment) hiyo ni kila level.
ukimaliza ukuruti kuna vyeo hivi
jkt-serviman
rts-private
tma-luteni usu(single star)
police-private
zimamoto-private
halafu ukisema zimamoto sio jeshi huo ni uongo mwingine lile ni jeshi LA zimamoto na uokoaji lipo Chini ya wizara ya mambo ya ndani
 
Write your reply...
Haya mambo bwana hayahitaji ujuaji mwingi, kaa utulie tuu. Ama umetumwa kutukagua tutakao changia? hauko seriously kwa haya
 
Umejing'atang'ata ila kiasi fulani umejitahidi na kwa asiyeelewa haya mambo ataona umedadavua kweli kweli kumbe blaah blaah nyingi anyway hongera sio mbaya sana
Mhi!! Hastahili hata hongera......
 
Dogo G nikukosoe kwa mara ya kwanza, JKT ni kamandi ya JWTZ inayoshughulikia huduma za kitaifa shughuli za kijamii, ukufunzi wa wanafunzi wa kijeshi.

Unaposema askari wa JKT hawana mafunzo kwa kutolea mfano unakosea sana, inaonekana bado hujui kuhusu jeshi vilivyo. Maafisa wa jeshi hilo kabla ya kupokea ajira hupitia mafunzo ya awali miezi sita na pia ya chuo cha uofisa kama ilivyo majeshi mengine yote. Usiwadhalilishe.

Pia usichanganye kuruti na maservicemen(ambao huvaa nguo za kijani zenye alama za karanga) na maaskari waajiriwa wa JKT.

Service men(wenye gwanda kama mgambo) wamemaliza mafunzo na wapo pale kusubiri post za kwenda kozi za uofisa, wale si waajiriwa wa JKT hata mshahara hawana zaidi ya kuwa na posho kwa shughuli zao kambini.
Huyo ni mweupe kwenye eneo hili....
 
Nimetolea mfano kuonesha kuwa katiba ndiyo huamua kila kitu
Kumbuka kuwa hata katiba ikibadilisha majukumu ya vyombo hivi bado itaitaji kubadilisha pia mitaala ya mafunzo ya vyombo hivi, jukumu la jwtz ni pana zaidi kuliko jukumu la polisi na magereza. Unqposema ulinzi wa mipaka jua kuwa unqzungumzia mipaka ya ardhini, angani na majini, hiyo yote inahitaji zana na mafunzo ivyo huwezi kubadilisha ghafla tuu bila ya kuwa na long time strategy
 
Mimi ninavyo jua magereza sio force yaan halina vigezo vya jeshi ingawa huita jeshi lakin jina halisi la magereza ni Tps(Tanzania people service) ukienda magereza yote utakuta yameandikwa ivi lakin polis ni Force yaan PT(police force) ukienda JWTZ utakuta TPDF yaan(Tanzania People Defense Force) kwaiyo polisi na jw wote ni force but Magereza ni service
Santa.
 
Dogo G nikukosoe kwa mara ya kwanza, JKT ni kamandi ya JWTZ inayoshughulikia huduma za kitaifa shughuli za kijamii, ukufunzi wa wanafunzi wa kijeshi.

Unaposema askari wa JKT hawana mafunzo kwa kutolea mfano unakosea sana, inaonekana bado hujui kuhusu jeshi vilivyo. Maafisa wa jeshi hilo kabla ya kupokea ajira hupitia mafunzo ya awali miezi sita na pia ya chuo cha uofisa kama ilivyo majeshi mengine yote. Usiwadhalilishe.

Pia usichanganye kuruti na maservicemen(ambao huvaa nguo za kijani zenye alama za karanga) na maaskari waajiriwa wa JKT.

Service men(wenye gwanda kama mgambo) wamemaliza mafunzo na wapo pale kusubiri post za kwenda kozi za uofisa, wale si waajiriwa wa JKT hata mshahara hawana zaidi ya kuwa na posho kwa shughuli zao kambini.
Ok
 
juzi hapa ulileta habari ya kujiua kwa private wa 514 makambako,hivi unajua ni kiasi gani ulileta taharuki kwa uongozi wa hiyo kambi. acha kujifanya mjuaji katika masuala ya kijeshi utapotezwa. wewe sio msemaji wa jeshi na wala sio mwandishi wa habari. waachie wenye majukumu yao watoe taarifa rasmi umaarufu wa mitandaoni hautakusaidia.
Upo mkuu
 
Kawadangani watoto wenzako jeshi ili liitwe jeshi lazima liwe na kamandi (battalions )
Police ni idara tu jaribu kuficha ujinga wako mkuu
Ingia gugo jaribu kutafuta 'world police forces' alafu rudi hapa uje ubadili huu uzwa uzwa ulio andika,tatizo umeaminishwa mkuu km mnavyo danganyana huko Kambini jeshini. Polisi ina kikosi cha maji,anga na askari wa miguu(doria)

-Askari maji kazi yao ni kupiga doria ktk maeneo yenye maji(maziwa&bahari) zilizo ndani ya mipaka ya nchi.

-Askari wa kikosi cha anga hawa wana fanya patrol ya anga ndani ya nchi.ila kwa Tz hii haifanyiki sana kwasabu ya ukosefu wa vitendea kazi(helicopters).

Mi sio polisi ila nmejaribu tu kukuelimisha wewe mwanajeshi wa std 7 usie jua majeshi yanayo tambulika na katiba ya nchi ya Tz.[emoji23][emoji23] alafu ww ni mjeshi kilaza hivi utaweza kweli kutekeleza jukumu lako la kuilinda katiba maana hata content ya katiba huijui.

Nyongeza;Nigeria,Uganda,Singapore,Somalia &Tz hizo ni baadhi tu ya nchi ambazo polisi yao ni force,ingia Google ujiridhishe na uone nchi nyingine ambazo zinatumia 'Police force'
 
Back
Top Bottom