Haya ndio mafanikio ya CHADEMA toka 1992. What a shame!?


Umeandika mambo mengi lakini ume base kwenye mahisia zaidi na kuacha kabisa uhalisia wa mambo. Mfano suala la Kapuya tayari kwamba limeonekana ni uzushi, suala la vigogo kuwa matajiri sidhani kama ni hoja kwa kuwa utajiri sio laana na kama kuna kigogo amekuwa tajiri kinyume na utaratibu mtaje jina na huje na ushahidi. Hayo mengine yote ni uzushi na kukosa kwako shukrani kwa kazi nzuri inayofanywa na serikali.
 
WanaJF,

Tokea CDM ianzishwe mnamo mwaka 1992, sasa yapata miaka ipatayo 23.
.....

FaizaFoxy hebu mfundishe huyu dogo jinsi ya kukokotoa hesabu.
Tangu mwaka 1992 hadi leo (2013) ni miaka 23...???
Sijui hapa mtoa hoja anakata wasomaji wapate Taswira gani ya uwezo wake wa mahesabu..??
 
Last edited by a moderator:
Mbona hizo success hazipimiki? Jaribu kuongeA kama msomi. Do you know Chadema's set goals? je walilenga ku-achieve nini na lini? Then from there ndio unasema wamefanikiwa au lah. But out of that utakua unaongea hadithi za Abunuasi

Wewe jamaa upo bongo kweli?! Maana hakuna asiyejua kuwa goal kubwa ya CDM ni kuivuruga amani ya nchi na kukwamisha maendeleo. Kama kuna goals zingine basi ni kama cover tu ya hiyo main goal.
 
FaizaFoxy hebu mfundishe huyu dogo jinsi ya kukokotoa hesabu.
Tangu mwaka 1992 hadi leo (2013) ni miaka 23...???
Sijui hapa mtoa hoja anakata wasomaji wapate Taswira gani ya uwezo wake wa mahesabu..??

Hiyo ni minor error tu na usiifanye kuwa ajenda kuu kwenye huu uzi. Hoja kuu hapa ni kujadili mafanikio ya CDM na malengo ya kuanzishwa kwa chama. Je, yamefikiwa?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni minor error tu na usiifanye kuwa ajenda kuu kwenye huu uzi. Hoja kuu hapa ni kujadili mafanikio ya CDM na malengo ya kuanzishwa kwa chama. Je, yamefikiwa?

Kama hata wewe ambaye umesoma, lakini hata hesabu ndogo ya kutoa inakushinda, hebu fikiria mamilioni ya watanzania ambao wako vijijini wakiteseka kwa umaskini wana hali gani.
Hesabu hujui, sasa mafanikio gani unayataka ...??
Jinsi uluvyovurugwa na hali mbaya ya maisha chini ya CCM, mpaka hesabu ndogo ya kutoa inakushinda....!!!
Chadema inalenga kuwakomboa watanzania kama wewe na mimi kutoka kwenye makucha ya wanyonyaji wa mali za watanzania, ili hata wewe uweze kuwa na amani ya kutosha kuweza kupiga hesabu ndogo vizuri...!!
Upo hapo...????
 
Wewe jamaa upo bongo kweli?! Maana hakuna asiyejua kuwa goal kubwa ya CDM ni kuivuruga amani ya nchi na kukwamisha maendeleo. Kama kuna goals zingine basi ni kama cover tu ya hiyo main goal.

Hapo kwenye blue,

Tanzania ni moja ya nchi tajiri sana barani Afrika.
Lakini wananchi wake ni maskini sana, na hawana maendeleo kabisa.
Tangu Tanzania ipate uhuru, imepita miaka 52 sasa...!! Na bado hakuna maendeleo yoyote yale kulinganisha na utajiri uliopo..!!
Sasa wewe kama kweli unafikiria vizuri, hebu angalia kama Chadema imekwamisha maendeleo yako kwa miaka 52 sasa..!!
Piga hesabu (ingawa hujui hesabu...!!)
Tangu uhuru ni miaka 52... na Chadema tangu ianzishwe ni miaka...???????
Nani kakwamisha maendeleo...???
 
Hiyo ni minor error tu na usiifanye kuwa ajenda kuu kwenye huu uzi. Hoja kuu hapa ni kujadili mafanikio ya CDM na malengo ya kuanzishwa kwa chama. Je, yamefikiwa?

CCM ina mafanikio yapi tangu kuanzishwa mfumo wa Vyama vingi?
( Mafanikio toka uanzishwe mfumo wa Vyama Vingi)
Weka hapa!!
 

Maendeleo hayatokei over night wewe acha kuwaza kwa kutumia akili zako za darasa la tatu. Unadhani Tanzania ilipaswa kuwa tajiri baada tu ya kupata uhuru?! Au miaka 20 baada tu ya uhuru?! Mambo hayapo hivyo. Nchi inaendelea ila muda nao una nafasi yake vile vile. Hivyo kama CDM wakitupunguzia fujo na kuifanya serikali isitenge fungu kubwa la pesa kwenye wizara ya mambo ya ndani, definately nchi itasonga mbele kwa kasi zaidi.
 
Nimekuja Moshi ni aibu wakuu. Mji umerudi nyuma, hakuna kipya kwa kifupi pamechoka. Nimeuliza nikaambiwa tatizo ni NDESAMBURO na madiwani wa CHADEMA.
 

Ile issue ya Prof Kapuya ccm wameizima!
 
ungu wan Eeeh! Mungu, pokea sifa baba maana humpa kila mtu sawa swa na matendo yake!. CCM walianzisha udini kwa CUF, wakahamia CDM, wakaongeza ukabila, ukanda. Na sasa Mungu mkuu, umeanza kuwapa matunda ya kazi yao!. Sina wasi wasi na kazi yako!. Naamini kama ulivomuumbua Ole medeye jana bungeni, Hammy-D naye utampa haki yake kwa kazi anayofanya katika post zake hapa jukwaani!. Amina!!
 

Ubongowa kuku uko parabola, hivyo kuku husahau baada ya kama dakika tu. Ndiyo maana ukimfukuza baada ya muda anarudi tena na kufanya kilekile ulichomfukuzia. Kuku hufanya vituvyake kwa mazoea tu na siyo akili. I have therefore came to conclude that Team Lumumba you are like chickens!!
 

Umenirahisishia kazi ya kutambua upeo wako ni wa kiasi gani hasa kwa ID name uliyoitumia. Nadhani wasomaji wataweza ku-connect dots kati ya ID name yako na pumba ilizoandika kwenye bandiko lako.
 
Umenirahisishia kazi ya kutambua upeo wako ni wa kiasi gani hasa kwa ID name uliyoitumia. Nadhani wasomaji wataweza ku-connect dots kati ya ID name yako na pumba ilizoandika kwenye bandiko lako.
Tuko Kisesa msibani, kada mwenzetu aliuwawa na wananchi wake kwa kuwapora ardhi, ubani wako ni muhimu sana , mengine baada ya msiba.....
 
Nimekuja Moshi ni aibu wakuu. Mji umerudi nyuma, hakuna kipya kwa kifupi pamechoka. Nimeuliza nikaambiwa tatizo ni NDESAMBURO na madiwani wa CHADEMA.

Wewe inzi wa kijani ndo maana umekosa pa kueneza kipindupindu.
 
Hiyo ni minor error tu na usiifanye kuwa ajenda kuu kwenye huu uzi. Hoja kuu hapa ni kujadili mafanikio ya CDM na malengo ya kuanzishwa kwa chama. Je, yamefikiwa?

Unajadili mafanikio yao ili iweje wakati si chama tawala? Mr Inzi wa Kijani.
 

Dah!!! Yaani ulivyo yapangilia vizuri mafanikio, mpaka inavutia ndg yangu....nakupa Division Five
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…