Haya ndege hiyoooooo

Sisi tumeiponda ndege, wewe umetuponda sisi tulioiponda ndege kwa kwa kosa la kuiponda ndege ukatukejeli kwa misamiati ya Didas M.

Sasa wasomaji hapa nani ana afadhali.
 
Huezi amini nchi ya Tanzania ndo nchi ambayo ukifanya kitu kizur kitaonekana kibaya.afu ukifanya kibaya ndo kinakuwa kizuri...
Ubongo wa bongo umelala na kufaaa
 
Unajua maana yake hilo neno mkuu au umekariri tu?
Nimekariri tu!, ila it is too early to judge! ndiyo maana nimekariri hilo neno! (spoken or written words that have no meaning or make no sense.)
 
Wachene maneno nyie watu msiopenda maendeleo hebu tumieni busara kidog.

Hizo ndeg nzuri sn kwa kuimarisha usafiri wa ndani kwani lipo soko la kutosha .
Bombardier q400 price $28milion mbili $56 milion

Kwa hiyo wange taka Boeng or airbus 320 kama za fast jet wangepata zipo nying tu used ambazo zina umri miaka 15 au 20 kwa hiyo halikuwa lengo la hizo airbus au boeng mnazo ziona ndio ndege .

Big up... ATCL
 
Ubinadam kazi kwel.unanunua ndege kwa kuanzia kufikiria soko la ndani kwako na jali ya viwanja watu wanalalamika wanasema vipangaboi na maneno mengine ya kejeli.Angeamua kuagiza kwanza B777 au A350 wangelalamika kwa kusema kasahau soko la ndani na anataka kikimbia kabla ya kutambaa.ubinadam kazi kweli
 
Aisee,ni aibu kwa TZ yenye 50+ ya uhuru kuwa na kidude kama hiko,hivi hakipeperushwi na upepo kweli ??
 


Kwani wewe umewasahau Wabongo? Ngoja nikukumbushe ni mara ngapi umemsikia Mtanzania akimcheka mtu anayeendesha Toyota vits au Nissan march wakati yeye anapanda daladala kila siku?
Au ulishawahi kumpa lift Mtanzania halafu akakwambia na wewe jaribu hata kununua gari kubwa kidogo ka, hivyo basi usishangae sana ni Intelligence, Watanzania wengi IQ 70 kwa nchi nje ya Afrika watu wana wastani wa kuanzia 85 nakuendelea hivyo ni shida ya intelligence, watu wetu wengi are just stupid huo ndiyo ukweli wenyewe ni hakuna kitu utafanya ingawaje inauma, too stupid for this earth!!
 
Hakika ni kweli kabisa, inauma sana kuzungukwa na watu wa aina hii
 
We nawe huo mfano hata hauendani,ingekuwa hizo ndege ni za UGANDA kisha sisi waTZ tukazicheka huo mfano ulikuwa sawa,lakini ndege zimenunuliwa na pesa zetu lakini tunacheka kwa vile aliyetununulia ndio hakutuchagulia chaguo sahihi kwavile anajisifu kuwa yuko makini,lakini hapo kachemka.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…