MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,560
- 41,509
Ninachoshangaa hadi nyanya ina wowowo halafu miss chagga na Matege hawana kweli dunia haipo fair
Last edited by a moderator:
Ninachoshangaa hadi nyanya ina wowowo halafu miss chagga na Matege hawana kweli dunia haipo fair
hahahaaaaaaa.. we ushaanza kuntamani na dalili zote naziona.. mshana jr unaona umesababisha watu wanajadili tezi jike langu
kwani vibaya mimi kukutamani ??
Mimi nilichoshangaa eti tikiti maji lina wowowo halafu wewe na miss chagga ni flat screen
hapo ndio neno watu ni sawa ila hawana usawa linapotumika
hahaaaaaa.. najivunia kuwa na shape ya kihindi. ila nimecheka
Shee maasai... bado hujaona nyanya ina wowowo?
Weka Ile kadarshian, ndio wanaifananisha nayo....
sasa kwa nini umecheka wewe bidada hapa nilikuwa naongea ukweli....!!!!
nafurahia kukosa tezi jike
ndio maana nasema dunia haipo fair kabisa haya ni pm kwa maelezo zaidi
ile ya kubreak the internet?
ndio iliofanananishwa na hayo matunda jana na Dailymail la uk....
hahahaahahaise tunda lipi likaendana vyema
mambo yote hapa hapa.. pm big NO
yanaonekana yamekomaa vuzuri