Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 946
- Thread starter
- #21
Tayari nimeshalipia ndo maana umeliona.lipia tangazo sasa
Tayari nimeshalipia ndo maana umeliona.lipia tangazo sasa
haswaa mpaka kilo zinapungua pasipo kujuwa.Na yakiamua kukuyumbisha unayumba haswa
Ukipenda hujui kama umependa, ila matendo ndo yataonyesha kua umependaSio lazima kupenda
Ila ni muhimu!Sio lazima kupenda
HahahaaaahaIkitokea ng'ombe moja inanitenganisha na pombe ili niwe na mpenz nitaitukana matusi ya ndani ya nguo
Naskiaga eti bia huwa hazina wivu😂😂😂😂afu unaitoa bikra mwenyewe🤣Mapenzi yanatesa khaaaaa ngoja tuu tunywe bia
Acha hii tabia almost kila nyuzi,unajua kabisa hii id ya kiume lakini unafanya makusudi.Eish sorry
Mi hua najudge maandishi username ni feki hizi.Acha hii tabia almost kila nyuzi,unajua kabisa hii id ya kiume lakini unafanya makusudi.
Kumbe ndo tabia yake. Dawa ni kumpuuza tuAcha hii tabia almost kila nyuzi,unajua kabisa hii id ya kiume lakini unafanya makusudi.
Na yana nafasi yake jiraniIla ni muhimu!
Umeona eeeh!Na yana nafasi yake jirani
Maisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno
Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa!
Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya bahari, utaingia ukiwa na mtazamo mzuri ila ukabadilishwa
Mapenzi ni maumivu makali
Mapenzi ni furaha kubwa
Wapo matajiri wanaocheka na kulia, wapo masikini wanaocheka na kulia
Ukimpenda atakupuuza, unaempuuza anakupenda
Unaweza kupenda ukaona kasoro
Kuna kasoro zinavunja moyo zinaumiza na zinatesa mno
Mapenzi yamekua ubinafsi watu hawafikirii wengine wanajiangalia wao peke yao
Unawaumiza wengine, wanakuumiza wengine
Mapenzi mapenzi mapenzi.
Copy & paste
Nacho kiona kwako ni ugeni wa mapenzi,Maisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno
Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa!
Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya bahari, utaingia ukiwa na mtazamo mzuri ila ukabadilishwa
Mapenzi ni maumivu makali
Mapenzi ni furaha kubwa
Wapo matajiri wanaocheka na kulia, wapo masikini wanaocheka na kulia
Ukimpenda atakupuuza, unaempuuza anakupenda
Unaweza kupenda ukaona kasoro
Kuna kasoro zinavunja moyo zinaumiza na zinatesa mno
Mapenzi yamekua ubinafsi watu hawafikirii wengine wanajiangalia wao peke yao
Unawaumiza wengine, wanakuumiza wengine
Mapenzi mapenzi mapenzi.
Copy & paste
Copy abd and pasteMaisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno
Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa!
Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya bahari, utaingia ukiwa na mtazamo mzuri ila ukabadilishwa
Mapenzi ni maumivu makali
Mapenzi ni furaha kubwa
Wapo matajiri wanaocheka na kulia, wapo masikini wanaocheka na kulia
Ukimpenda atakupuuza, unaempuuza anakupenda
Unaweza kupenda ukaona kasoro
Kuna kasoro zinavunja moyo zinaumiza na zinatesa mno
Mapenzi yamekua ubinafsi watu hawafikirii wengine wanajiangalia wao peke yao
Unawaumiza wengine, wanakuumiza wengine
Mapenzi mapenzi mapenzi.
Copy & paste