Hajali, ukimuuliza mbna kimya maelezo 1000..nampenda lakn ntakuwa na amani zaidi kama ntaweza kumuacha
Unataka kumuacha, umepata kwa kuhamia? Na huko uendako umejihakikishia hutorudi kujutia unakoacha? Maana Tamaa za mda mfupi zinawazuzuaga nyie! Sasa unakiri kupendwa na kufanyiwa vizuri sasa unataka nn!? Mapenz bhana!! Mwisho wa yote hayo ni kumbwela mbwela tu. Sasa njia rahisi kabisa ya kufanya... Nunua kondom Kisha pasua utoe kondom kisha ubaki na kasha tupu, kisha uziweke kwenye mfuko wako,. Mtakapokutana uigize kama unatoa cm halafu uzidondoshe kasha za kondom akiwa anaona halafu ujifanye kama unashtuka hivi..... Kisha urudi kutuambia. Kila la heri...
Heshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni mbinu za kumwacha kimya kimya
Ushauri pls
kama huna usiquote
Demu kashakujua udhaifu wako na atakusumbua sana kuwa makini na hilo. Nakuapia hata siku moja hatokubali umuoe kwa sababu anakujua nje ndani wewe huna msimamo, ogopa sana mwanamke akikujua kuwa hujielewi, hapo kwako anavuta muda tu akipata wakueleweka lazima uje humu na sred tu. Yetu machokama unaona anakufanyia mambo mazuri basi hauna haja ya kumuacha
Mleta uzi ndiye haeleweki ,mwanamke anamchexesha kwata, " nyuma geuka" jamaa anageuka akiambiwa we mbuzi, anakasirika kwa muda akiletewa pipi anafurahi, and so on.Issue yako ngumu dear ungetaja sababu zinazokufanya umuone haeleweki eleweki ningekupa maujanja ya kumuacha bila kuleta madhara kwako wala kwake, so funguka tukusaidie
tupe sabab inayokufanya umwache, tuanzie hapo kwanzaHeshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni mbinu za kumwacha kimya kimya
Ushauri pls
kama huna usiquote
Pole fikiri kwa makini kabla ya kufanya maamuzi kwani inaonekana unampenda usimuache unayempenda na anayekupenda kwan huwez jua mwingne atakuwaje ikiwa anaweza kukufanyia jambo na unaliona zuri jitahidi kutunza pendo hilo inawezekna ndo zawadi yako.uciogope changamotoHeshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni mbinu za kumwacha kimya kimya
Ushauri pls
kama huna usiquote
Unavisa weye kama yule mwenzio alokua anainadi kazi hiyo kaifanya miaka 15..lolsasa mazuri yote hayo unataka umuache kwanini, hakukojozi au![]()
![]()
Usiilazimishe nafsi kama umesema na moyo wako na still your not happy nae, am sure utakua na ujasiri wakumweka chiniHeshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni mbinu za kumwacha kimya kimya
Ushauri pls
kama huna usiquote
kwani weye hupendi kukojozwa mamiiUnavisa weye kama yule mwenzio alokua anainadi kazi hiyo kaifanya miaka 15..lol

Dah....Mkuu kuna kipindi na mimi nilikuwa busy hatari yani nikicheza tu naharibu maisha halafu mtu anakuletea maneno eti lazy people are always busy aiseee alivyosepa nilipumua maana jitu ukiliambia bishi anataka chatin tu....hawa dada zetu majangaDuh, maybe he is busy kweli, give him more time kuliko kuwa chanzo cha kuvunja moyo wa mwenzio.
Umetuambia sababu inayokufanya usimuache kuwa ni mambo mazuri anayokufanyi.Sasa tuambie sababu inayokufanya umuacheHeshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni mbinu za kumwacha kimya kimya
Ushauri pls
kama huna usiquote